#COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO) laitaka Tanzania kujiandaa kupokea chanjo ya Corona

Kila siku utasikia ss ni dona country! Sasa umeuliza vema kwa miaka 5 amefikia wapi ? Yaan mpaka kumi anawezaondoka na kuacha watu wakiwa hawana uhakika hata mlo,
Hivi miaka mitano ya uongozi wa magu ameweza kutransform vipi huo utajiri wa nchi hii ureflect kwenye maisha ya wadanganyika wanaoishi kwa kipato cha chini ya dolla moja kwa siku.au kazi yakeni kupiga makelele tu
 
Msamehe bure huyo ni miongoni mwa wajinga wengi huku bongo wanaofanywa mtaji wa ccm kubaki mamlakani

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Watanzani mnaweza kuwa na akili ya Ngono na kuchukiana tu lkn sio mambo mengine labda uniProve wrong tangu Uhuru tumeweza nini

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Ww vp tena????hii ni dona kantri bhana !!!!tembea kifua mbere alisikika bwana yule
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa siku hii chanjo tutapewa bure huku wengine wakiinunua kwa gharama mara mbili!

Saa nyingine mikwara ya JPM inasaidia sana.
Usiwe mjinga, WHO haiuzi chanjo!
 
Tena labda huenda sisi tukalazimishwa kupewa ile ya wachina iliyotangazwa wiki hii .Na hii ni kutukomoa kwa sababu ya mbwembwe tunazoonyesha dhidi ya huu ugonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…