Shirika la Afya Duniani (WHO) lasema huenda Waafrika 190,000 wakapoteza maisha ndani ya mwaka mmoja kutokana na Corona

MUNGU KUPITIA SISI WANYONGE ANAONYESHA UTUKUFU WAKE!


HATUNA WA KUMTUMAINIA NA KUMKIMBILIA ZAIDI YAKO MUNGU MAANA HATA WATAWALA WETU WAMETUACHA PEKE YETU KWENYE BONDE LA UMAUTI LAKINI KWA NEEMA ZAKO TUTAVUKA SALAMA!

UWAPE PUMZIKO LA AMANI WANYONGE WENZETU WALIOSHINDWA VITA HII!

UWAKAANGE KWENYE TANURU LA MOTO WATAWALA WALIOTUTELEKEZA NA KUTANGULIA!

AMEN.!
 
Afrika vifo vipo sanaa, hususani huku masharti yamekua changamoto kwetu..sema tu wa....na....f.....ch.....ila wa.......tu.....wanakufa
 


Binadamu wote ni halisi, awe mzungu, mhindi, msomali, mchina waarabu wote hali moja. Acheni ushamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…