Hahaha nimecheka kwa sauti jamani JF ni stess free zoneMU = Muslim University of Morogoro ?
MUMMU = Muslim University of Morogoro ?
Itakua ya tano aiseeHicho ni phase ya ngapi?
Kweli kazi iendelee mkuu hakuna namnaMbula...
Huku tz tuna mama j ..
Huko ulaya wana "mu"
Kazi iendelee
Haha umenikumbusha mbaliHaya majina ni Greek alphabets. Delta, Mu. kwa wale wamefanya advanced Statistics, hii Mu hutumika sana kurepresent mean ya data.
Haya majina ni Greek alphabets. Delta, Mu. kwa wale wamefanya advanced Statistics, hii Mu hutumika sana kurepresent mean ya data.
Hamna namna tushangia kichwa kichwaKweli kazi iendelee mkuu hakuna namna
Nadhani ni mean ya waliogoma kupata chanjo. π π πKwa hiyo hicho kirusi kinarepresent mean ya Corona?
MU siyo Muslim University of Morogoro bali ni MZUMBE UNIVERSITYMU = Muslim University of Morogoro ?
Ni kama matoleo ya Iphone, toleo likiisha umaarufu wanaachia kingineπππ, njaa mbaya sanaKile cha delta kimeishia wapi?