Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,780
- 6,133
Kirusi anaakili sana. Anajua muda gani akibadilishe kumchenga Mwanadamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina represents arithmetic Mean.. 😀😀Kwa hiyo hicho kirusi kinarepresent mean ya Corona?
Ha ha ha ha ha daa jamani mambo mengine unacheka mpaka wengine wanakushangaaMU = Muslim University of Morogoro ?
Baba yaoDuh hivi nani anaya batiza majina ya hizi corona
Ova
Duh hivi nani anaya batiza majina ya hizi corona
Ova
Waache upuuziShirika la Afya Duniani (WHO) linachunguza aina mpya ya Kirusi cha Corona kinachofahamika kama Mu au B.1.621 ambacho kwa mara ya kwanza kiligundulika Januari 2021 Nchini Colombia
Kwa mujibu wa WHO, Kirusi hicho kina mabadiliko yanayoashiria kinaweza kuwa sugu kwa Chanjo, lakini tafiti zaidi zinahitajika ili kuchunguza hilo
=====
A new coronavirus strain, named Mu, has been designated a variant of interest by the World Health Organization.
Mu, or B.1.621, was first identified in Colombia and cases have been recorded in South America and Europe.
The WHO’s weekly bulletin on the pandemic said the variant has mutations suggesting it could be more resistant to vaccines, as was the case with Beta, but that more studies would be needed to examine this further.
It said: “Since its first identification in Colombia in January 2021, there have been a few sporadic reports of cases of the Mu variant and some larger outbreaks have been reported from other countries in South America and in Europe.
“Although the global prevalence of the Mu variant among sequenced cases has declined and is currently below 0.1%, the prevalence in Colombia (39%) and Ecuador (13%) has consistently increased.
Source: The Guardian
Madam nimeuliza hilo tangu jana ila hadi sasa sijapewa majibu. Sijui kwanini sisi wenye degree tunadharauliwa sanaHa ha ha ha ha daa jamani mambo mengine unacheka mpaka wengine wanakushangaa
Mbona tokea zamani mkuu, hii ni endelevu.Washaanza......
Hapo ndipo nilikuwa nampendea Mwamba Magufuri,japo ametangulia mbele ya haki, Watanzania mtatishwa sana, lakini simameni imara, Sasahivi sijui tumefika sijui wimbi la ngapi, mpaka waliojitaidi kufuta legacy yake wakaleta chanjo, chanjo zimewadodea,wanamsingizia Gwajima boy,R.i.p president Magufuri fikira zako bado zinaishi.Shirika la Afya Duniani (WHO) linachunguza aina mpya ya Kirusi cha Corona kinachofahamika kama Mu au B.1.621 ambacho kwa mara ya kwanza kiligundulika Januari 2021 Nchini Colombia.
Kwa mujibu wa WHO, Kirusi hicho kina mabadiliko yanayoashiria kinaweza kuwa sugu kwa Chanjo, lakini tafiti zaidi zinahitajika ili kuchunguza hilo.
=====
A new coronavirus strain, named Mu, has been designated a variant of interest by the World Health Organization.
Mu, or B.1.621, was first identified in Colombia and cases have been recorded in South America and Europe.
The WHO’s weekly bulletin on the pandemic said the variant has mutations suggesting it could be more resistant to vaccines, as was the case with Beta, but that more studies would be needed to examine this further.
It said: “Since its first identification in Colombia in January 2021, there have been a few sporadic reports of cases of the Mu variant and some larger outbreaks have been reported from other countries in South America and in Europe.
“Although the global prevalence of the Mu variant among sequenced cases has declined and is currently below 0.1%, the prevalence in Colombia (39%) and Ecuador (13%) has consistently increased.
Source: The Guardian
Yaani mpaka Nawaza hili la Corona lishakua Ni biashara [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], chanjo yake inatoka lini?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
R.I.P JPM [emoji1374]
Kabisa mkuu,Kwenye huu ugonjwa
Wanadamu tumepigwa
Mkuu kirusi gani? Natural au patented?Nikadhani kwenye yale yetu ya kimaskhara 😂😂😂😂!
Kumbe ya kirusi mkuu?
Usisahau kirusi kama alivyo binadamu hujifunza kutokana na makosa. Makosa kikishayajua hakiyarudii tena.
Kumbuka pia mkakati wa kirusi chochote siku zote ni kujipatia namna ya kushambulia vyema na kwa ufanisi zaidi.
Hiyo ndiyo nadharia rahisi ya kitu mutation.
Ya wataalamu tuwaachie wao Gwajiboy hatatuvusha!
Hadi tutakaposhituka mkuuSasa Kama kila sikU kinakuja kipya, tutachoma chanjo ngapi Sasa[emoji848]