Enthusiastic Senior Member Joined Dec 21, 2023 Posts 109 Reaction score 256 Sep 10, 2024 #21 G4N said: Ingia nao makubaliqno ya kuwapatia 30% faster utalipwa. Vinginevyo sahau Click to expand... Hela zangu na nimechangia kwa hiari yangu halafu kuipata hadi nihonge?
G4N said: Ingia nao makubaliqno ya kuwapatia 30% faster utalipwa. Vinginevyo sahau Click to expand... Hela zangu na nimechangia kwa hiari yangu halafu kuipata hadi nihonge?
K koryo1952 JF-Expert Member Joined Mar 7, 2023 Posts 948 Reaction score 1,627 Sep 10, 2024 #22 Wekeza kwenye UTT fedha yako itakuwa salama na faida wanayotoa no10% au zaidi ya hapo.
G G4N JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 4,283 Reaction score 9,925 Sep 10, 2024 #23 Enthusiastic said: Hela zangu na nimechangia kwa hiari yangu halafu kuipata hadi nihonge? Click to expand... Watumishi wa serikali walishauriwa na mamlaka ya juu kuwa wale kwa useful wa kamba yao. NIC ni taasisi ya serikali, hivyo hiyo 30% ndiyo urefu wa kamba yao. Kama hutoi iinakula kwako.
Enthusiastic said: Hela zangu na nimechangia kwa hiari yangu halafu kuipata hadi nihonge? Click to expand... Watumishi wa serikali walishauriwa na mamlaka ya juu kuwa wale kwa useful wa kamba yao. NIC ni taasisi ya serikali, hivyo hiyo 30% ndiyo urefu wa kamba yao. Kama hutoi iinakula kwako.