Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania

Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania

Mbolabilika

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2019
Posts
2,128
Reaction score
2,867
Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania

Mahirika matatu makubwa ya ndege (KLM,Qatar,na Ethiopia) yamejipanga kuongeza masafa zaidi ya ndege miezi mitatu baada ya maeneo mengine kufua anga.

Nitawashangaza watanzania –Magufuli
Shirika la ndege la Ethiopia ambalo ndiyo shirika la kwanza la ndege kurejesha safari zake katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere , ambapo safari zitaongezeka kutoka mara nne kwa wiki na kufikia 14.

Mkurugenzi wa maendeleo uwanja wa ndege Kilimanjaro ,Catherine Mwakatobe amesema kuwa ,KLM imeongeza safari toka moja hadi nne , shirika la Qatari limeongeza ratiba ya safari zake kutoka tatu mpaka 12.

Ikiwa ni sehemu ya mwendelezo tangu kurejea kwa safari za ndege shirika la ndege la Rwanda litakuwa na safari tatu kwa wiki katika uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro.

Shirika la ndege la Uturuki limekuwa likifanya safari zake nyingi kutoka Instanbul kwenda KIA kabla ya mlipuko wa ugonjwa na Covid-19 na kusitishwa .
“Safari hizi za ndege zitatoa ujumbe mzito kwa dunia kuwa Tanzania hakuna virusi vya Corona,” alisema Mwakatobe.

Membe: Tutakuwa mishumaa, haibiwi mtu, ni kivumbi
Jana , ndege aina ya Dream-liner inayo milikiwa na shirika la ndege la Ethiopia ilitua uwanja wa kimataifa wa KIA ambapo wesafiri walipokelewa Mkuu wa mkoa wa mkoa huo Anna Mghwira na baadhi ya viongozi wa serikali. Tanzania ilikuwa nchi ya kwanza kufungua anga lake baada ya kufanikiwa kudhibiti.

KAMA HILI LIKIFANIKIWA BASI KQ NDIO BYE BYE NA HAITATAMANI TENA VITA YEYOTE ILE NA TANZANIA PILI TANZANIA HAWATOTAKA MAZUNGUMZO MAANA TUTAKUA TUNAFAIDIKA SABABU WATALII WATAKUA WANAKUJA MOJA KWA MOJA SASA KUIRUHUSU KQ KUTASABABISHA MASHIRIKA YA NDEGE KUPUNGUZA SAFARI AMBALO NI PIGO KWA TZ ,QATAR AIR NA ETHIOPIA AIR KWA KUMNUFAISHA [emoji205] HILI HALITAKUBALIKA.

Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania
 
Dubai nimepakifu, twenzetu Malaysia tukiwa tunarudi tunapitia Bangkok.

Nimemiss massage ya visamaki na konokono.
Basi sawa tutaenda ila tambua ukirudi ntakuwa nimekubebesha na mimba! Uzee si tatizo,swala ni kulenga tu! Na kwenye ulengaji nina tuzo 4 nakimbilia ya 5 Sasa!..

Tutapita na India Kuna yule mrembo priyanka Chopra nina miadi nae then tuta drop london then tutatua into the magu land..😅
 
Nafikiri hii ni ishara tosha ss ya serikali na ATCL ianzishe route bara la ulaya
 
Basi sawa tutaenda ila tambua ukirudi ntakuwa nimekubebesha na mimba! Uzee si tatizo,swala ni kulenga tu! Na kwenye ulengaji nina tuzo 4 nakimbilia ya 5 Sasa!..

Tutapita na India Kuna yule mrembo priyanka Chopra nina miadi nae then tuta drop london then tutatua into the magu land..😅

Tafadhali kumbuka matumizi ya mihadarati na viongeza nguvu za kiume hayaruhusiwi kabla na baada ya safari pia ni hatari kwa afya yako🤣🤣🤣🤣🤣

Nimetoa angalizo mapema maana sio kwa kujiamini huko, usije ukazima kinenani bureeee.

Chumvi kali ujue....😅😅😅 halafu ikizidi pishi haliliki, halafu si unajua chumvi nyingi iko kwa aliyekula chumvi nyingi aka kigagula....🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tafadhali kumbuka matumizi ya mihadarati na viongeza nguvu za kiume hayaruhusiwi kabla na baada ya safari pia ni hatari kwa afya yako🤣🤣🤣🤣🤣

Nimetoa angalizo mapema maana sio kwa kujiamini huko, usije ukazima kinenani bureeee.

Chumvi kali ujue....😅😅😅 halafu ikizidi pishi haliliki, halafu si unajua chumvi nyingi iko kwa aliyekula chumvi nyingi aka kigagula....🤣🤣🤣🤣🤣
Nimejizatiti kwa kula vitu natural achana na hayo makapi ya waigaji sijui vumbi la wapi wapi..😜

Subiri uje uone weledi wa kijana mtanashati mwenye mikogo ya chati.. hiyo chumvi ndo nnayoitaka shida nataka nikukumbushe wakati ule damu ikukuchangamka so wanna turn you back enzi zile wakati unameno yote.. ntakuenzi kwa penzi usiwakumbuke washenzi Tena kwa mikogo ya kenzy utadata kishenz..😉😜

Ombea niuache ulengaji tu alasivyo historia ya maajabu itajirudia kwa kigagula kuvimbishwa tumbo..😂
 
Nimejizatiti kwa kula vitu natural achana na hayo makapi ya waigaji sijui vumbi la wapi wapi..😜

Subiri uje uone weledi wa kijana mtanashati mwenye mikogo ya chati.. hiyo chumvi ndo nnayoitaka shida nataka nikukumbushe wakati ule damu ikukuchangamka so wanna turn you back enzi zile wakati unameno yote.. ntakuenzi kwa penzi usiwakumbuke washenzi Tena kwa mikogo ya kenzy utadata kishenz..😉😜

Ombea niuache ulengaji tu alasivyo historia ya maajabu itajirudia kwa kigagula kuvimbishwa tumbo..😂


Aaahahahhahaaa si buree una nyegera waitu wewe leo.

Mwambie mama Kokuu, ifwakt you are coming to nshomira waitu tataa.... 😅😅😅😅😜😜😜
 
Aaahahahhahaaa si buree una nyegera waitu wewe leo.

Mwambie mama Kokuu, ifwakt you are coming to nshomira waitu tataa.... 😅😅😅😅😜😜😜
Kasie I love you I can't sleep without you my dear!.. I see your face when I close my eyes.. kasie it's only you my blood pressure is following you heart beat!..
 
Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania

Mahirika matatu makubwa ya ndege (KLM,Qatar,na Ethiopia) yamejipanga kuongeza masafa zaidi ya ndege miezi mitatu baada ya maeneo mengine kufua anga.

Nitawashangaza watanzania –Magufuli
Shirika la ndege la Ethiopia ambalo ndiyo shirika la kwanza la ndege kurejesha safari zake katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere , ambapo safari zitaongezeka kutoka mara nne kwa wiki na kufikia 14.

Mkurugenzi wa maendeleo uwanja wa ndege Kilimanjaro ,Catherine Mwakatobe amesema kuwa ,KLM imeongeza safari toka moja hadi nne , shirika la Qatari limeongeza ratiba ya safari zake kutoka tatu mpaka 12.

Ikiwa ni sehemu ya mwendelezo tangu kurejea kwa safari za ndege shirika la ndege la Rwanda litakuwa na safari tatu kwa wiki katika uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro.

Shirika la ndege la Uturuki limekuwa likifanya safari zake nyingi kutoka Instanbul kwenda KIA kabla ya mlipuko wa ugonjwa na Covid-19 na kusitishwa .
“Safari hizi za ndege zitatoa ujumbe mzito kwa dunia kuwa Tanzania hakuna virusi vya Corona,” alisema Mwakatobe.

Membe: Tutakuwa mishumaa, haibiwi mtu, ni kivumbi
Jana , ndege aina ya Dream-liner inayo milikiwa na shirika la ndege la Ethiopia ilitua uwanja wa kimataifa wa KIA ambapo wesafiri walipokelewa Mkuu wa mkoa wa mkoa huo Anna Mghwira na baadhi ya viongozi wa serikali. Tanzania ilikuwa nchi ya kwanza kufungua anga lake baada ya kufanikiwa kudhibiti.

KAMA HILI LIKIFANIKIWA BASI KQ NDIO BYE BYE NA HAITATAMANI TENA VITA YEYOTE ILE NA TANZANIA PILI TANZANIA HAWATOTAKA MAZUNGUMZO MAANA TUTAKUA TUNAFAIDIKA SABABU WATALII WATAKUA WANAKUJA MOJA KWA MOJA SASA KUIRUHUSU KQ KUTASABABISHA MASHIRIKA YA NDEGE KUPUNGUZA SAFARI AMBALO NI PIGO KWA TZ ,QATAR AIR NA ETHIOPIA AIR KWA KUMNUFAISHA [emoji205] HILI HALITAKUBALIKA.

Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania

Hatari sana! Supply follows demand always, they don’t just decide, if so, but they go with the need!
 
Back
Top Bottom