Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania

Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania

Kasie I love you I can't sleep without you my dear!.. I see your face when I close my eyes.. kasie it's only you my blood pressure is following you heart beat!..


Weeeh Kenzy weeweee....

Unaniibia nini kizee mimi lakini ijumaa yote hiii.....!!!

Au umenidukua nilivyovaa leo nini ndomaana unanimwagia asali....😅😅😅👊🏽👊🏽👊🏽👊🏽 Aaahahahahahhaaaaa looh.

Ila vitamu, niongezee tenaaa.....😋😋😋😋
 
Weeeh Kenzy weeweee....

Unaniibia nini kizee mimi lakini ijumaa yote hiii.....!!!

Au umenidukua nilivyovaa leo nini ndomaana unanimwagia asali....😅😅😅👊🏽👊🏽👊🏽👊🏽 Aaahahahahahhaaaaa looh.

Ila vitamu, niongezee tenaaa.....😋😋😋😋
Vitakuwa vitamu zaidi ukinisogelea karibu!.. nami nitakuazibu zaidi kwa michezo ya kiguru..😉

Tule tupozi twako twakizee lazima tutakukana ukikutana nami.. hata ukiomba kamoyo kangu nitakupa na kakongosho zaidi..😜
 
Vitakuwa vitamu zaidi ukinisogelea karibu!.. nami nitakuazibu zaidi kwa michezo ya kiguru..😉

Tule tupozi twako twakizee lazima tutakukana ukikutana nami.. hata ukiomba kamoyo kangu nitakupa na kakongosho zaidi..😜


Aahahahahahaa usisahau na kabandama na kakendele .....🤪🤪🤪🤪🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
 
Aahahahahahaa usisahau na kabandama na kakendele .....🤪🤪🤪🤪🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
Unataka kunifilisi mwili wangu Sasa..😅
 
Unataka kunifilisi mwili wangu Sasa..😅

Ukiisha wako tutatumia wangu 🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu ukijitolea sana Mungu anakutejeshea ulipopungukiwa mara kibao.

Chakula cha leo kitaamuuuu...... 😋😋😋😅😅😅😅😅😅
 
Ukiisha wako tutatumia wangu 🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu ukijitolea sana Mungu anakutejeshea ulipopungukiwa mara kibao.

Chakula cha leo kitaamuuuu...... 😋😋😋😅😅😅😅😅😅
Tuzee nato huwa tuongo..😂
Unanidendadenda tu unatafuta kijana wa kuzeeka nae.. hunipati we subiri nije nikutie mimba tu uzae sijui huyo mtoto atakuita mama au Bibi mi sijui nachojua ni kulenga tu..😂
 
Tuzee nato huwa tuongo..😂
Unanidendadenda tu unatafuta kijana wa kuzeeka nae.. hunipati we subiri nije nikutie mimba tu uzae sijui huyo mtoto atakuita mama au Bibi mi sijui nachojua ni kulenga tu..😂

Haya muda wako wa kuweka kishoka umeisha, pisha Dadii ashike usukano. Nataka kabla jua halijatoka alfajiri awe ashanifikisha unyanyembe kwetu na akinifikisha ananikandaa kisha nalala fofofo.
Nikiamka namuandalia karanga na asali na matobolwa nae aondoe uchovu wa safari ndefu.
Aaahahahahhahahaaaaa

Kizee Kitata Kasinde.
 
Aaahahahaaahahahahaa KENZY 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umenunaa..?
 
Haya muda wako wa kuweka kishoka umeisha, pisha Dadii ashike usukano. Nataka kabla jua halijatoka alfajiri awe ashanifikisha unyanyembe kwetu na akinifikisha ananikandaa kisha nalala fofofo.
Nikiamka namuandalia karanga na asali na matobolwa nae aondoe uchovu wa safari ndefu.
Aaahahahahhahahaaaaa

Kizee Kitata Kasinde.
Ngoja vijana tunaojua kuvunja chaga tuzivunje Sasa na anavyoniita kwa jicho remburembu walahi nafwa mie.. nikutajie na jina lake...? Anaitwa malkia.. 😉
Ngoja nikipishe hicho kigagula dk tano tu chali..😂😂

Malkia wangu ndo kwanza ananipikia maji ya kuoga huku..😅
 
Aaahahahaaahahahahaa KENZY 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umenunaa..?
Kwa mbaaali japo si sana.. hujui hata kumfukuza mtu unatumia lugha ya mikwaruzo huna hata bembelezo!!. Tena kwa kijana rijali kama mimi! Utakosa Mambo shauli yako..😜
 
Yeeeyy.... vacation is around the corner 😊😊😋
Hili smile ni Kama lile la kipindi kile jua likiwa saa sita, japo sikuwepo enzi zile.!!
Samahani nje ya mada!!!
 
Ngoja vijana tunaojua kuvunja chaga tuzivunje Sasa na anavyoniita kwa jicho remburembu walahi nafwa mie.. nikutajie na jina lake...? Anaitwa malkia.. 😉
Ngoja nikipishe hicho kigagula dk tano tu chali..😂😂

Malkia wangu ndo kwanza ananipikia maji ya kuoga huku..😅


Leo utalala chumba cha wageni nanutakula vipapatio na shingo. Dadii amerudi leo namtengea mapaja ya kuku na mashed potatoes, madikodiko kama yote na mahaba juu.
 
Leo utalala chumba cha wageni nanutakula vipapatio na shingo. Dadii amerudi leo namtengea mapaja ya kuku na mashed potatoes, madikodiko kama yote na mahaba juu.
Alale nani..? Mi nakula Kona kuna mrembo ananihitaji..😅
 
Kwa mbaaali japo si sana.. hujui hata kumfukuza mtu unatumia lugha ya mikwaruzo huna hata bembelezo!!. Tena kwa kijana rijali kama mimi! Utakosa Mambo shauli yako..😜

Pooleeee mwaayaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Usijali basi leo acha nikuache upumzike hadi sikuinginewe utayokuwa rijali aaahahahahhhaaaaa 😆😆😆😆🏃🏽‍♀️
 
Alale nani..? Mi nakula Kona kuna mrembo ananihitaji..😅


Aaahahahhahahahaaaa
Keeenndhyyyy

Pole kwa uchovu wa kujitakia 😆😆😆😆😆😆😆🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
Natumai umeamshwa salama.
 
Aaahahahhahahahaaaa
Keeenndhyyyy

Pole kwa uchovu wa kujitakia 😆😆😆😆😆😆😆🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
Natumai umeamshwa salama.
Huyu waleo anapigo za kihindi!.. sahivi Tena ananipikia maji halafu nasikia li break fast la nguvu linaandaliwa!.. masaji nimeambiwa kwa upole kwamba baada ya nusu saa!... Anajipitisha na kinanilii chake hapa ..😅
 
Huyu waleo anapigo za kihindi!.. sahivi Tena ananipikia maji halafu nasikia li break fast la nguvu linaandaliwa!.. masaji nimeambiwa kwa upole kwamba baada ya nusu saa!... Anajipitisha na kinanilii chake hapa ..😅

Mwambie achanganye na maujuzi ya kiarabu akushikilie usitoke hadi jumatatu asubuhi.

Akuachie mapafu na kibofu tuu kwaajili ya kupumua na kukojo.
Vingine vyote avikontroo usifurukute 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwambie achanganye na maujuzi ya kiarabu akushikilie usitoke hadi jumatatu asubuhi.

Akuachie mapafu na kibofu tuu kwaajili ya kupumua na kukojo.
Vingine vyote avikontroo usifurukute 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kasie masaji imeanza mama niache we hangaika na kigagula wako..😜
Na nimepewa mnong'onezo Tunaenda vacation moja amazing.. huyu nimempa paka unywele na mwenye wivu ajinyonge..😜
 
Kasie masaji imeanza mama niache we hangaika na kigagula wako..😜
Na nimepewa mnong'onezo Tunaenda vacation moja amazing.. huyu nimempa paka unywele na mwenye wivu ajinyonge..😜


Haya tulia unyolewe vizuri usijekatwa na kichupa buree au ukaungua na jivu 🤣🤣🤣🤣
Wikiendi njema.
 
Back
Top Bottom