Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania

Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania

Haya tulia unyolewe vizuri usijekatwa na kichupa buree au ukaungua na jivu 🤣🤣🤣🤣
Wikiendi njema.
Juma tatu lkn naja kwako hizi ni mbwembwe tu za kipozeo.. we ndo yule hakuna mkate mgumu mbele ya chai kwahiyo siwezi kukuluka hilo nalijua..😂😂
 
Juma tatu lkn naja kwako hizi ni mbwembwe tu za kipozeo.. we ndo yule hakuna mkate mgumu mbele ya chai kwahiyo siwezi kukuluka hilo nalijua..😂😂


Bwana hemu niacheee mbavu zangu zinauma khaaaa, tangu jana usiku nachekaaaa tuu 😂😂
 
Bwana hemu niacheee mbavu zangu zinauma khaaaa, tangu jana usiku nachekaaaa tuu 😂😂
Nisipokuchekesha wewe ntamchekesha nani..?
We ndo mamito nyonga mkalia ini.. ulimi usiokuwa na mfupa Bali nakshinakshi za pwani zenye... Hapo zimalizii wasije mambemberu wakachukua Jimbo..😂
 
Nisipokuchekesha wewe ntamchekesha nani..?
We ndo mamito nyonga mkalia ini.. ulimi usiokuwa na mfupa Bali nakshinakshi za pwani zenye... Hapo zimalizii wasije mambemberu wakachukua Jimbo..😂

Aaahahahaha weeh acha mwenzio nikachume mihogo ya futari jioni.

Kuna mtu kaniambia nikachukue kiroba cha nazi ananipa bureee nikifate mkuranga.

Nnavopenda kupika mapishi ya nazi, naenda fastaaa😅
 
Aaahahahaha weeh acha mwenzio nikachume mihogo ya futari jioni.

Kuna mtu kaniambia nikachukue kiroba cha nazi ananipa bureee nikifate mkuranga.

Nnavopenda kupika mapishi ya nazi, naenda fastaaa😅
J tatu nikute hiyo mihogo halafu tumetawala Uzi wa watu utafikiri tunajadili Mambo yamsingi..😂
Ipo siku tutakuja kufurumushwa kwa mitusi Uzi wa kuongeza safari za ndege na mihogo wapi na wapi 😅
 
Back
Top Bottom