Shirika la ndege KLM, Qatar na Ethiopian kuongeza safari Tanzania

Haya tulia unyolewe vizuri usijekatwa na kichupa buree au ukaungua na jivu 🀣🀣🀣🀣
Wikiendi njema.
Juma tatu lkn naja kwako hizi ni mbwembwe tu za kipozeo.. we ndo yule hakuna mkate mgumu mbele ya chai kwahiyo siwezi kukuluka hilo nalijua..πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Juma tatu lkn naja kwako hizi ni mbwembwe tu za kipozeo.. we ndo yule hakuna mkate mgumu mbele ya chai kwahiyo siwezi kukuluka hilo nalijua..πŸ˜‚πŸ˜‚


Bwana hemu niacheee mbavu zangu zinauma khaaaa, tangu jana usiku nachekaaaa tuu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bwana hemu niacheee mbavu zangu zinauma khaaaa, tangu jana usiku nachekaaaa tuu πŸ˜‚πŸ˜‚
Nisipokuchekesha wewe ntamchekesha nani..?
We ndo mamito nyonga mkalia ini.. ulimi usiokuwa na mfupa Bali nakshinakshi za pwani zenye... Hapo zimalizii wasije mambemberu wakachukua Jimbo..πŸ˜‚
 
Nisipokuchekesha wewe ntamchekesha nani..?
We ndo mamito nyonga mkalia ini.. ulimi usiokuwa na mfupa Bali nakshinakshi za pwani zenye... Hapo zimalizii wasije mambemberu wakachukua Jimbo..πŸ˜‚

Aaahahahaha weeh acha mwenzio nikachume mihogo ya futari jioni.

Kuna mtu kaniambia nikachukue kiroba cha nazi ananipa bureee nikifate mkuranga.

Nnavopenda kupika mapishi ya nazi, naenda fastaaaπŸ˜…
 
Aaahahahaha weeh acha mwenzio nikachume mihogo ya futari jioni.

Kuna mtu kaniambia nikachukue kiroba cha nazi ananipa bureee nikifate mkuranga.

Nnavopenda kupika mapishi ya nazi, naenda fastaaaπŸ˜…
J tatu nikute hiyo mihogo halafu tumetawala Uzi wa watu utafikiri tunajadili Mambo yamsingi..πŸ˜‚
Ipo siku tutakuja kufurumushwa kwa mitusi Uzi wa kuongeza safari za ndege na mihogo wapi na wapi πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…