Sasa mfano tu wa zimbabwe umesema huwezi kuongelea sababu hujui, unawezaje kujadili mambo makubwa kama haya kama uko na limited exposure and little learning namna hiyo?
Kwa kukusaidia wewe na unsound minds wenzako, haya mambo yanahitaji uwe na akili, exposure na shule angalau kuweza kuyajadili.
Tatizo la nchi zetu masikini kama hizi unakuta mtu kama wewe, little learner, limited exposure, unsound and unstable mind ndio mnapewa nafasi ya kufanya maamuzi, ndio maana tutaendelea kua masikini siku zote, ile viscous circle of poverty haitatuacha.
I am just ignoring you as unsound, short sighted and unstable mind.