Shirika la Ndege la Ethiopia limenifanya nateseka

Shirika la Ndege la Ethiopia limenifanya nateseka

Wewe ni Mpuuzi, Mshamba, utakufa Masikini na roho yako mbaya...!

Stupid....
upuuzi= kutoa mada isiyojieleza vizuri
Ushamba= kujibu kwa jazba kwa kitu kidogo
Roho mbaya= kuombea wenzio mabaya



yanakuhusu yote
 
shida yako tujue umepanda ndege tu huna lolote


kama unataka watu wasiingie kwenye shida mbn ujasema hyo shida yenyewe
Wewe ni ng'ombe

Hujaelewa nini wakati jamaa alileta majanga yaliyomkumba toka mwaka juzi.

Na link kaweka hapo halafu unaongea ushuzi wako hapa. Hivi unajua hela ya mjasi inavyouma??
 
shida yako tujue umepanda ndege tu huna lolote


kama unataka watu wasiingie kwenye shida mbn ujasema hyo shida yenyewe
dah mkuu umesoma kisa lakini? au umekuja tu? siyo stori hizi mkuu ni kweli ni mimi ndo yalinitokea wakati mwingine kueleza kunafunza wengine kama hujasoma soma
 
upuuzi= kutoa mada isiyojieleza vizuri
Ushamba= kujibu kwa jazba kwa kitu kidogo
Roho mbaya= kuombea wenzio mabaya



yanakuhusu yote
mbona nilielza mkuu wangu majanga yaliyonikuta?
 
upuuzi= kutoa mada isiyojieleza vizuri
Ushamba= kujibu kwa jazba kwa kitu kidogo
Roho mbaya= kuombea wenzio mabaya



yanakuhusu yote
Emu fatilia Thread toka mwanzo then comment za wadau, hafu uje usome ulichoandika....

Ndo utajua kati ya mtoa mada na wewe nani hajielewi.
 
upuuzi= kutoa mada isiyojieleza vizuri
Ushamba= kujibu kwa jazba kwa kitu kidogo
Roho mbaya= kuombea wenzio mabaya



yanakuhusu yote
Emu fatilia Thread toka mwanzo then comment za wadau, hafu uje usome ulichoandika....

Ndo utajua kati ya mtoa mada na wewe nani hajielewi.
 
Emu fatilia Thread toka mwanzo then comment za wadau, hafu uje usome ulichoandika....

Ndo utajua kati ya mtoa mada na wewe nani hajielewi.
tobaa yani wakati natoa comment mar ya kwanza huu uzi nmeona umeandkwa vneno vifupi tu ndo mana ckuelewa..

sasa naona nmeufunguz tena naona ulivojieleZea mwanzo mwixho sa sielewi imekuaje

but nmekuelew mkuu sory ka ulikwazika
 
Back
Top Bottom