Shirika la ndege la Precision lisimamishwe haraka kuruka anga la Tanzania kabla ya madhara makubwa kutokea

Shirika la ndege la Precision lisimamishwe haraka kuruka anga la Tanzania kabla ya madhara makubwa kutokea

Nafikiri ni wakati muafaka kwa serikali kubinafsisha ATCL kwa kuwapa Precision Air waendeshe mambo kwani PA wanauzoefu mkubwa na mafanikio vinginevyo ATCL itakufa.
Umeongea vizuri sana,katika suala la biashara Precision wanaijua biashara ila ATC kiukweli ule userikali na kila mtu kujiona ana mabawa kunawaharibia sana.
 
Back
Top Bottom