Basi kwa mpango huu tusahau kutoka kt lindi la ufukara (destitute)Mimi nashauri tuendelee Kama Watanzania kutoa tozo kwa moyo,nguvu,akili na maarifa yetu yote ili viongozi wetu na wasaidizi wao waendelee kuishi maisha mazuri!
View attachment 2365774
Hizo gari za kifahari ndio zinabeba na vipuri n.k. na wanajenga wao au kuna mkandarasi ? Na huyo mkandarasi haya ndio magari kanunua na anatoa hizo pesa kwenye faida yake ? Kwahio hizi gari ni speacial / wameleta ili waende kukagua reli huko maporini ? (kwanini wasitumie drones kuganya ukaguzi ?Reli Mwendo kasi wanayojenga maporini huko unataka waende na Magari ya Toyota vitz? Au kirikuu? Au Bajaj?
Naam kwenye njia mbaya sidhani kama kuna wa kumshinda boda boda katika penetrationAu bodaboda kusimamia na kukagua progress?
ha ha haa kwahio na reli ya mwendokasi ikianza kazi itabidi tuagize mengine mengi ili reli ikipata shida wafike kwa haraka na magari yao ?, Kwanini tusiachane na reli ili tuendelee na huu usafiri wa haya magari yao ambayo yanafika kwa haraka ?!!!Reli ikiwa na shida mahali unataka wafike haraka kwa kutumia baiskeli au? Hoja yako Haina maana
Ngoja kwanza...hi ni gari ya Mkuu wa Mkoa?Mimi nashauri tuendelee Kama Watanzania kutoa tozo kwa moyo,nguvu,akili na maarifa yetu yote ili viongozi wetu na wasaidizi wao waendelee kuishi maisha mazuri!
View attachment 2365774
Sasa ulitaka afanyeje jamani? Kama huna wa kumnyesha joisi, si ugugumie tu, uache wengine wapandishe bendera!!!Yule aliyekuwa anabania tusinunue, Mungu kamchukua...Kwanini tusinunue wakati Mazeli yuko kunywesha fazeli juisi huko maballon?!
Hebu tupishe huko.
Hakuna mandalas mpumbavu hivyo. Hao ni akina kadogosa tuu.Pengine ni magari ya wakandarasi[emoji28][emoji28]
Sasa mkuu kama ni pesa wanapewa na serikali au wanapata ruzuku shida iko wapi,hutaki wawe na magari au hutaki wawe na magari mapya au hutaki wawe na magari mengi au hutaki wapewe ruzuku bali watumie pesa zao ambazo umesema mwenyewe kuwa haziwatoshi?hakuna shortcut kwenye mradi mkubwa kama walionao,ukichukulia kuwa sehemu kubwa ya kazi inafanyikia mbali na resources zinakopatikana, na hata hivyo umbali unaongezeka kila unapomaliza sehemu mmoja,unlike kazi ya kujenga daraja au nyumba...Natafakari sana lakini sipati majibu, kati ya taasisi ya umma yenye magari ya kifahari halafu Kwa idadi kubwa basi ni hawa TRC. Wanamiliki magari mengi tena ya kifahari lakini sijui Kama taifa limewapa ruzuku ama ni faida kutoka katika huduma wanayotoa.
Shirika hili za reli linatumia magari yenye plate namba zinazoanzia na RAC na magari Yao ni new generation kabisa kampuni ya Toyota kuanzia SUV mpaka pickup. Suala hapa siyo magari Bali idadi ya magari ni mengi mno for no solid reason.
Unakuta magari zaidi ya 6 Kwa pamoja yote ya shirika la reli yanafukuzana sijui kukagua SGR kitu ambacho ni anasa. Wizara mtoke Sasa mtuambie hawa TRC wamekopa pesa kununua Magari ama serikali imetoa ruzuku ya kuwanunulia magari?
😅😅😅 Ndio ya mkuu wa mkoa wa RuvumaNgoja kwanza...hi ni gari ya Mkuu wa Mkoa?
Acha uwongo weweMkuu nchi yetu ni ngumu sana. Kwa kifupi fedha zingekuwa zinatumika bila ufisadi au matumizi yasiyo na lazima basi tusingehitaji msaada wowote na shule na hospital zingekuwa bure na huduma bora kabisa. Na awamu hii ukiambiwa fedha zinavyopigwa basi unaweza kuzimia. Na mwenyewe amekaa anatumbua mi-macho tu.
Hili jambo linastaajabisha kwa vile TRC ni shirika linaloendeshwa kwa ruzuku. TRC ya miaka ya nyuma ilikuwa inatumia landrover 109, wakati shirika likisafirisha tani 1.2 million kwa mwaka. Hi ya sasa wanatumia V8 wakati wanabeba mizigo ya tani laki mbili kwa mwaka. Ndiyo maana suala la tozo halieleweki wakati matumizi ya serekali na taasisi zake ni ya kufuru.Natafakari sana lakini sipati majibu, kati ya taasisi ya umma yenye magari ya kifahari halafu Kwa idadi kubwa basi ni hawa TRC. Wanamiliki magari mengi tena ya kifahari lakini sijui Kama taifa limewapa ruzuku ama ni faida kutoka katika huduma wanayotoa.
Shirika hili za reli linatumia magari yenye plate namba zinazoanzia na RAC na magari Yao ni new generation kabisa kampuni ya Toyota kuanzia SUV mpaka pickup. Suala hapa siyo magari Bali idadi ya magari ni mengi mno for no solid reason.
Unakuta magari zaidi ya 6 Kwa pamoja yote ya shirika la reli yanafukuzana sijui kukagua SGR kitu ambacho ni anasa. Wizara mtoke Sasa mtuambie hawa TRC wamekopa pesa kununua Magari ama serikali imetoa ruzuku ya kuwanunulia magari?
Ufahari unafaa pia Kwa watoa huduma, au ufahari unafaa wezi tu!!?Natafakari sana lakini sipati majibu, kati ya taasisi ya umma yenye magari ya kifahari halafu Kwa idadi kubwa basi ni hawa TRC. Wanamiliki magari mengi tena ya kifahari lakini sijui Kama taifa limewapa ruzuku ama ni faida kutoka katika huduma wanayotoa.
Shirika hili za reli linatumia magari yenye plate namba zinazoanzia na RAC na magari Yao ni new generation kabisa kampuni ya Toyota kuanzia SUV mpaka pickup. Suala hapa siyo magari Bali idadi ya magari ni mengi mno for no solid reason.
Unakuta magari zaidi ya 6 Kwa pamoja yote ya shirika la reli yanafukuzana sijui kukagua SGR kitu ambacho ni anasa. Wizara mtoke Sasa mtuambie hawa TRC wamekopa pesa kununua Magari ama serikali imetoa ruzuku ya kuwanunulia magari?
Wale wahindi wanapega pesa mbaya Kuna jamaa angu anapiga pale duh asie ankumbia jamaa wanapiga faida had wanabutuaTOYOTA wamepiga hela maana magari zaidi ya 500 yamenunuliwa
Ukute ndo walewaleHuu Uzi haukuhusu kajadili masuala ya Simba na yanga ndiyo level zako.
Mf wakiachiwa faida ya dollar 3000/carWale wahindi wanapega pesa mbaya Kuna jamaa angu anapiga pale duh asie ankumbia jamaa wanapiga faida had wanabutua
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app