Shirika la Uchumi na Kilimo (SUKITA) lifufuliwe

Shirika la Uchumi na Kilimo (SUKITA) lifufuliwe

Vitega Uchumi pia viongezwe mpaka Dubai
 
Vitega Uchumi pia viongezwe mpaka Dubai
SUKITA ilifungua tawi mkoani kwetu SUKIMBI kwa wamatengo kule. SUKIMBI nayo ikafa kifo kile kile cha mama yake SUKITA. Hatari sana, Binamu zake SUKITA akina NMC, UGAWAJI, RTC, RETCO, SUDECO, NARCO, NAFCO, DOWICO, BORA, TEGRY, NATIONAL PANASONIC, hata makaburi yao sijui yako wapi.
 
SUKITA ilifungua tawi mkoani kwetu SUKIMBI kwa wamatengo kule. SUKIMBI nayo ikafa kifo kile kile cha mama yake SUKITA. Hatari sana, Binamu zake SUKITA akina NMC, UGAWAJI, RTC, RETCO, SUDECO, NARCO, NAFCO, DOWICO, BORA, TEGRY, NATIONAL PANASONIC, hata makaburi yao sijui yako wapi.
National panasonic leo hii ilibidi wawewanatengeneza simu na komputa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunakumbushana tu

SUKITA lilikuwa Shirika bora kabisa Nilikuwa nanunua mbuzi katoliki pale

Ni vena CCM wakalifufua lile Shirika Ili hata hawa Chawa waweze kupata ajira

Dominica njema!
 
SUKITA lilikua shirika la kukuza Uchumi na Kilimo nchini. Kwa 100% lilimilikiwa na Chama.

Kutokana na ukosefu wa Ajira ni wakati sasa lifufuliwe ili utekelezaji wa ilani uendane na vitendo.
UNATAKA MACCM YATUPIGE TENA? LILE LILIKUWA SHIRIKA LA UPINGAJI NENDA STOP OVER KUNA GHOROFA HALIJAISHA LILIKUWA LA MKURUGENZI WA SUKITA
 
SUKITA lilikua shirika la kukuza Uchumi na Kilimo nchini. Kwa 100% lilimilikiwa na Chama.

Kutokana na ukosefu wa Ajira ni wakati sasa lifufuliwe ili utekelezaji wa ilani uendane na vitendo.
Wazo jema hili
 
Watoto wa millenia wana tabu sana. Ukute hapo anajua SUKITA lilikuwa la Serikali.

Ila SUKITA ilikuwa inafuga manguruwe mengi sana pale bonde la Msimbazi mkabala na Kigogo. CCM hawaogopi mapato haramu ya kitimoto wao ni kubugia tu kwa ulafi wao
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Haya mambo yanaenda kwa ujanja ujanja, shirika linasemekana limekufa lakini jengo lake limekarabatiwa mwaka Jana na limepangishwa sasa sijui nani kasaini mikataba ya pango na marekebisho ya jengo.

Jengo la sukita lipo mtaa wa Lumumba wanapakana na jengo la ushirika kama unaelekea uwanja wa michezo.
Aisee ni balaaa
 
SUKITA ilifungua tawi mkoani kwetu SUKIMBI kwa wamatengo kule. SUKIMBI nayo ikafa kifo kile kile cha mama yake SUKITA. Hatari sana, Binamu zake SUKITA akina NMC, UGAWAJI, RTC, RETCO, SUDECO, NARCO, NAFCO, DOWICO, BORA, TEGRY, NATIONAL PANASONIC, hata makaburi yao sijui yako wapi.
Mzee unaweza kufafanua Kwa kirefu kidogo hayo mashirika mengine wengine tulikuwa wadogo
 
Mzee unaweza kufafanua Kwa kirefu kidogo hayo mashirika mengine wengine tulikuwa wadogo
Nmc ilikuwa ni National Milling ndo ile pale Tazara ( Baresa), Ugawaji hawa walikuwa kazi yao kugawa bidha adimu, walikuwa pale Ilala, RTC ilikuwa Regional Trading company, Retco ilikuwa ni Regional transport, SUDECO ilikuwa Sugar Development ( pale Kibaha wana taasisi bado ipo nadhani), Narco ni National Ranch ( bado wapo, mfano mzuri ni Kongwa Beef) au Ruvu au Kitulo, Nafco ilikuwa nafaka ( mfano ilikuwa Ngano kule Basotu), Dowico ilikuwa ni Dodoma Wine, Bora wao ilikuwa ni viatu, Tegry walikuwa ni mabomba ya maji, National Panasonic walikuwa ni Redio kama Mkulima/Dudu proof etc etc
 
Nimemkumbuka D.G. Kapinga aka "Lord Kapinga" Kimara enzi hizo tukiwa na wakina Mzee Mariki wa "Sitawahukumu", Mashingia, Hugo.
 
SUKITA ilifungua tawi mkoani kwetu SUKIMBI kwa wamatengo kule. SUKIMBI nayo ikafa kifo kile kile cha mama yake SUKITA. Hatari sana, Binamu zake SUKITA akina NMC, UGAWAJI, RTC, RETCO, SUDECO, NARCO, NAFCO, DOWICO, BORA, TEGRY, NATIONAL PANASONIC, hata makaburi yao sijui yako wapi.
Nchi hii ilikuwa na mambo mazuri sana, basi tu. Kwa kuongezea hapo, Mang'ula. Huko hakukua Cha mtoto full kiwanda, Leo ni popo tu wananyea
 
CCM hawana jeuri hiyo kwa sasa! Wakati ule, karibia kila kitu walikuwa wanapata bure! Leo hii, hata duka la mtaji wa 5,000,000/= inaweza kuwa ni issue ngumu!
Wapo chawa wa mama, tuone juhudi zao. Wakichanga pesa wanazotufisadi inawezekana.
 
Nchi hii ilikuwa na mambo mazuri sana, basi tu. Kwa kuongezea hapo, Mang'ula. Huko hakukua Cha mtoto full kiwanda, Leo ni popo tu wananyea
NAKUMBUKA MKATE WA BOFLO NA ORANGE SQUASH ( TUNAPOENDA FIELD TULIKUWA TUNAPEWA ORANGE SQUASH NA BOFLO) UNAHANGAIKA NALO KWENYE TREN MWANZO MWISHO. NDO HAYARUDI TENA
 
Back
Top Bottom