Shirika la umeme mnatukatia sana umeme bila kutuandaa bila kujali

Shirika la umeme mnatukatia sana umeme bila kutuandaa bila kujali

Ghost MVP

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2022
Posts
439
Reaction score
736
Leo ni 26 JAN lakini Wiki Yote hii nimekuwa wa kupishana na umeme kila siku wanatukatia Umeme Usiku saa 1 kurudi had saa 6 kila siku, yani tunarudi majumbani hakuna kitu tunafanya na Giza ni kulala tu, inakwaza mnoo, na mchana huwa wanakata basi vitu vinaaribima kwenye Friji, yan hata kutuandaa hamtuandai, inakwaza mnoo

TANESCO mtuzingatie, Mnatukwamisha sanaa
 
Kwakweli Tanesco mnatutesa sana. Halafu wala hamjali, yaani hata watu waongee vipi, mnawapuuza kabisa. mngekuwa basi hata mnatoa ratiba ili watu tujipange. Halafu hadi haya mafuriko, lakini bado umeme hamna. Tanesco mbinguni mtakusikia kwa majirani zenu Dawasa. Kama na wenyewe wataenda
 
Kwakweli Tanesco mnatutesa sana. Halafu wala hamjali, yaani hata watu waongee vipi, mnawapuuza kabisa. mngekuwa basi hata mnatoa ratiba ili watu tujipange. Halafu hadi haya mafuriko, lakini bado umeme hamna. Tanesco mbinguni mtakusikia kwa majirani zenu Dawasa. Kama na wenyewe wataenda
Tutaandama kwaajili yao 🤣🤣🤣
 
Leo ni 26 JAN lakini Wiki Yote hii nimekuwa wa kupishana na umeme kila siku wanatukatia Umeme Usiku saa 1 kurudi had saa 6 kila siku, yani tunarudi majumbani hakuna kitu tunafanya na Giza ni kulala tu, inakwaza mnoo, na mchana huwa wanakata basi vitu vinaaribima kwenye Friji, yan hata kutuandaa hamtuandai, inakwaza mnoo

TANESCO mtuzingatie, Mnatukwamisha sanaa
Emegency watakula wapi..
Watu wanatengeneza mazingira ya kazi overtime kama zote mzigo unaingia..
Tanzania hakuna shida ya umeme tatizo ni viongozi wa chini ya waziri husika na wafanyakazi wa vitengo wanatengeneza mazingira ..
Naomba niishie hapo
 
Leo ni 26 JAN lakini Wiki Yote hii nimekuwa wa kupishana na umeme kila siku wanatukatia Umeme Usiku saa 1 kurudi had saa 6 kila siku, yani tunarudi majumbani hakuna kitu tunafanya na Giza ni kulala tu, inakwaza mnoo, na mchana huwa wanakata basi vitu vinaaribima kwenye Friji, yan hata kutuandaa hamtuandai, inakwaza mnoo

TANESCO mtuzingatie, Mnatukwamisha sanaa
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tufahamishe eneo lenu tuweze kufanya ufuatiliaji zaidi.^OK
 
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tufahamishe eneo lenu tuweze kufanya ufuatiliaji zaidi.^OK
Kwa ufupi ni Nchi nzima Ila mimi imenikumbua nikiwa Dar Shughulikieni Kote Ndugu Waangaza wetu
 
Back
Top Bottom