Uchaguzi 2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

Sasa Kwanini hukuwashauri ccm wasifanye dhuluma, na ubakaji majimbo kwa kuwateka wapinzani, mapingamizi ya kijinga, polisi, takukuru nk, wakati CHADEMA wepesi tu?!!
CCM bila Assistance ni hamna
 
Wangewachapa viboko kama ccm inavyoachiwa kuhubiri majukwaani kuwachapa viboko wapinzani.
 
Ila kutesa upinzani ni vizuri?
 
Tulikuwa tunalisubiri tamko la TBC kwa hamu kubwa.Tumeskitishwa na kitendo cha CHADEMA na tunakilaani kwa nguvu zote.Huku mtaani tulishaanza kukaa roho juu maana yake hatukujua ule umma kwa amri ya viongozi wao baada ya hizo dakika kumi wangewafanya nini.Wafanyakaazi wa TBC tunawapa pole.Hiki ni chombo chetu cha umma tukiheshimu.
 
Sasa ndio uwazalizishe hivyo! [emoji50]
Uwazalizishe!!?? Nadhani ulikua na maana uwadhalilishe. Nani kawadhalilisha?? Hizi shule za siku hizi ni shida, kiswahili nacho kinawapa shida. God forbid.
 
Hii inaitwa SASA BAAASI

Toa wembe ni toe kisu kudadeki
Tumechokaaa
Mngekuwa na morali hii ya kutaka mabadiliko kwenye mfumo wa elimu ingekuwa ni uzalendo uliotukuka.
 
Huna chama kipi? Na hata hufanani kuwa na chama.
 
Uwazalizishe!!?? Nadhani ulikua na maana uwadhalilishe. Nani kawadhalilisha?? Hizi shule za siku hizi ni shida, kiswahili nacho kinawapa shida. God forbid.
Achana na common mistake. Chukua muktadha! [emoji57]
 
Umeifahamu vizuri TBC na kiifuatilia vizur mkuu? Watu hawaihitaji hata kama inaendeshwa kwa kodi zao. Tuiache ionyeshe vitu inavyopenda yenyewe kwa gharama ya jasho letu watanzania.
 
CCM (TBC) ilikwenda kufanya nini kwenye shughuli ya kitaifa...?

Wazee wa kuvizia kuteka na watu watu...miaka 5 wamezuia watu wasiongee leo eti wema sana...pambaf....komesha hao Yeboyebo!! aka Utoporo fc!!
Yeboyebo na Utopolo ni majina ya utani ya timu yangu Young African aka Yanga. Ingawa ni majina ya utani, ila si jambo jema kuinasibisha timu ya wananchi na hao wendawazimu wa sisiem, waliojaa dhulma. Ingekuwa vyema kuomba radhi kwa hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ