Uchaguzi 2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

Sasa Kwanini hukuwashauri ccm wasifanye dhuluma, na ubakaji majimbo kwa kuwateka wapinzani, mapingamizi ya kijinga, polisi, takukuru nk, wakati CHADEMA wepesi tu?!!
 
Acha porojo mkuu Yesu alifufua watu na bado akapigwa mawe sembuse huyu aliye jenga madaraja!
 
..Wawe pia Wawazi na Kueleza walichofanya hadi CHADEMA kufikia hatua ya kufanya walichowafanyia!
CHADEMA sio Wehu wa Kuanza kutimua Watu kwenye Mikutano!
TBC wekeni mambo hadharani...Mlifanya nini?
Mwisho wao ndiyo umefika wa kujipendekeza kwa ccm wakati wanalipwa kwa mishahara inayotokana na kodi za watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hili, Mbowe amekosea. Kama kiongozi wa chama ambacho kila wakati kinalalamikia serikali kwa 'kuminya' uhuru wa vyombo vya habari, Mbowe hakupaswa 'kuiminya' tbc kwa kuifukuza palepale mkutanoni bila hata kupata muda wa kutafakari athari za maamuzi yake. Ni mfano mbaya kwa chama kinachosema kipo tayari kushika dola na kutoa uongozi mbadala kwa nchi.
 
Mheshimiwa Daktari Ayoub Ryoba,
Mengi ya kufurahisha na ya karaha yamefanywsa na TBC tumeyapokea kabla ya uongozi wsako na sasa kipindi cha uongozi wako...
Lini TBC wakarusha mikutano ya upinzani hasa chadema? Wasubirie mikutano ya Nccr mageuzi na cuf ambayo ni matawi yao
 
vibaraka wame fufurushwa uwanjani Nguvu ya umma imeshangilia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…