Uchaguzi 2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

Pamoja na kwamba sihafikiani na maamuzi yakuwafukuzwa tbc yaliyoafikiwa na Cdm ila pia siwalaumu sana Cdm kwakuchukua hatua hiyo kwasababu kuna mambo yanakera tena ukizingatia yanafanywa na chombo cha Umma sasa yakiendelea kutazamwa tu tutajikuta tunakua na vyombo vya Umma mzigo visivyoweza kuleta mageuzi ya ustawi wa jamii.Lakini pia Tbc walipaswa wajue kua Cdm ni mshindani sawa na washindani wengine kama Act,Ccm na wengine na hichi ni kipindi cha kampeni kwahiyo walipaswa kujua lazima Cdm watakua na hoja zakuonyesha madhaifu ya mmoja wapo ya mshindani au serikali yenyewe.sasa kama wao wanajua hawawezi kusikia hoja za namna hiyo walipaswa kua na namna nyingine yakufanya tofauti na walichokua wanafanya.Ule ni utoto na kamwe hauwezi kulisaidia Taifa.Lakini pia niwakumbushe Wapinzani kua hichi sio kipindi chakulalamika au kufanya maamuzi kwa hisia na mihemko.
 
We ni ccm
 
Chadema wamejiharibia. Hakutakuwa na chombo cho chote cha habari kitakachorusha wala kuandika kampeni zao. Watabakia twiter, instagram na yutube pekee ambako wateja wake hawazidi laki moja. Itabidi mgombea wao atembelee kila kijiji. Pesa ya kufanya hivyo hawana. Ile yakutoka kwa mabeberu itataifishwa.
 
Wewe una kichaa!!
 
Mbowe alikosea pale ilikuwa wapewe dakika tano tu,kumi tano zilikuwa nyingi sana.
Hata hivyo iwe fundisho .....Kamanda wa anga alipaswa ndio apeperushe bendera kwa ujasiri ambao ameuonesha
hapa kuna neno la kuwauliza tbc ,hivi tangu chadema wanaanza mchakato wa kumpitisha mgombea wao lini wamerusha matangazo yao? pili leo wanazungumzia kwa mjibu wa kanuni za tume , why sio kwa mjibu wa sheria za tz kama chombo cha umma ? hata kama mie sijui sheria ila naamini zipo sheria ndongo zinazokiendesha chombo husika kama chombo cha umma , ukiacha tume .
mwisho ,
tbc kubali leo mlichemka na msiwalaum chadema maana mmesababisha leo watz kuingia gharama za kununua bando bila sababu , na kusema kuliopoti kwa ajili ya uslama wa vyombo halina tija maana hata leo mwenyekiti mbowe aliwapa notes na mkatekeleza na wala hakuna alie wagusa,
 
Kumbe ndo maana kuna vitu havifanyiki ili vije vitumike kama agenda kipindi cha uchaguzi.
 
Hatuna shida na tbsccm
 
Wacha kiwagharimu lakini tuje tupate vyombo vya Umma vinavyojielewa.Huwezi kupiga hatua ya maendeleo kama nchi inakua na vyombo vyanamna ya Tbc.
Chadema wamekosa busara.walichafanya leo kuwafukuza tbc kitakuja kuwagharimu.
 
Basi ujue tu kwamba wakubwa zako ndani ya chama, wanajua ugumu wa huu uchaguzi, na wewe kudai kwamba CHADEMA ni wepesi sana, ni moja ya propaganda za kitoto! Propaganda hiyo inakusaidia wewe tu kuishi kwa matumaini, lakini haimshawishi Mtu yeyote!
 
Natarajia jukwaa la wahariri nao watatoa tamko. Kama walivyosimama pamoja pale Clouds media walipovamiwa pia watasimama TBC pia. Kwani vyote ni vyombo vya habari na maisha ya wana habari wenzao yametishiwa.
 
Sasa nimekubali kwamba tutalia wote TBC tayari machozi
 
Kukatakata matangazo haikua upuuzi?
 
Hewa tbc waangalie walipo jikwaa wasiangalie walipoangukia iliugonjwa walionao uwatoke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…