Uchaguzi 2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

Uchaguzi 2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

T


Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.

TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.

Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.

Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.

TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.

TBC mmepoteza heshima mbele ya taifa mlichoifanyia chadema Leo ni kuihujumu hamkwenda pale kwa weledi.

Lengo lenu ilikuwa ni kuihujumu chadema na si kuitangaza mbaya zaidi mna hujuma za kitoto na za kishamba Sana.

Ujinga mlioufanya.

1.Aina za picha mlizochukua ni close lengo msionyeshe wingi wa watu.

2.Wakati mbowe anaongea mkakata sauti yake mkawa mnajadiliana utopolo wenu wa Bibi na bwana kwenye tv ya taifa Sasa swali!

Je lengo lilikuwa tuwasikie wale mtu na mkewe pale TBC au mbowe aliekuwa anaongea muda ule?

Mna mambo ya kishamba Sana TBC Ila ombeeni CCM ibaki madarakani mpaka mnaingia kaburini....!

Mbaya zaidi mnaofanya hujuma hizi ni vijana mnaotazamiwa kuishi muda mrefu mnatumika kishamba kuuwa weledi wenu wapumbavu kabisa nyie TBC.
 


Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.

TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.

Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.

Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.

TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.

Hivii nyie TBCCM mlishawahi kutangaza lile pingamizi la RAIS LISSU kwa huyo meko wenu?
 
TBC mnatufanya watanzania wajinga Sana mnatudharau Sana watanzania ila ombeeni Sana watanzania waendelee kulala usingizi unaochagizwa na wasanii na ujinga wa ndege kwaya na fly over ombeeni Sana TBC ujinga wa watanzania utamalaki mbwa nyie.
 


Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.

TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.

Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.

Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.

TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.

Mlivyowajinga mnadhani nasisi ni wajinga mlivyotegesha kamera zenu Leo tuliona ila kesho mtatumia mpaka drones halafu tutaona wakati anaongea mwenyekiti wenu je kutakuwa na mke na mume wanaongea muda huo huo? Kwenye studio zenu?
 
Mie mwenyewe nashangaa why hawajarushiwa mawe
CHADEMA ni wastaarabu sana utamaduni na utalaamu wa kuwatupia mawe viongozi wa upinzani wanaachiwa UVCCM kama walivyoonyesha kule Hai. TBC walifika kwenye uzinduzi wa Kampein ya CHADEMA ili kuwasaidia CCM kesho kwenye uzinduzi wao kujibu mapigo ndo maana kila viongozi walipoanza kuchambua CCM au Serikali sauti ilikatwa na kurudi Studio na kuwapa nafasi watangazaji kuunga mkono juhudi. CHADEMA wamefanya vizuri kuwafukuza waliletwa kupandikiza sumu kwa manufaa ya Magufuli na wataendelea kufanya hivyo mikutano yote wakiruhusiwa. Bloody dirty spies!
 
CHADEMA ni wastaarabu sana utamaduni na utalaamu wa kuwatupia mawe viongozi wa upinzani wanaachiwa UVCCM kama walivyoonyesha kule Hai. TBC walifika kwenye uzinduzi wa Kampein ya CHADEMA ili kuwasaidia CCM kesho kwenye uzinduzi wao kujibu mapigo ndo maana kila viongozi walipoanza kuchambua CCM au Serikali sauti ilikatwa na kurudi Studio na kuwapa nafasi watangazaji kuunga mkono juhudi. CHADEMA wamefanya vizuri kuwafukuza waliletwa kupandikiza sumu kwa manufaa ya Magufuli na wataendelea kufanya hivyo mikutano yote wakiruhusiwa. Bloody dirty spies!
Maaskofu na mapadre wanasubiri kuiombea CCM kesho na sadaka jumapili.
 
TBC siku zote kimekuwa chombo cha habari njema za CCM, nadhani no vizuri mkafuata misingi ya vyombo vya habari vya habari vya umma! TBC iache kutumika na CCM na ibaki kuwa chombo cha umma!!!!
 
Akili za CDM wote sawa kuanzia viongozi wao wa juu mpaka wafuasi wa mtaani.

Lazima watafute mtu wa kumtolea hasira zao mambo yanapoenda kombo, mkutano umeenda ndivyo sivyo kwenye umati awataki TBC warushe, ata JF ukimkosoa Lissu lazima kuna jitu litataka likutee hasira zake kwako.

Pamoja na kutaka kuona Magufuli anashinda lakini sio mapema hivi. Ikimbukwe asilimia kubwa ya kura millioni 6 za Lowassa 2015 zilipatikana Dar, kwa mapokezi ya Lissu mmh hapo kama vile hana chake.

Watu wengi wameshauri sana jamaa story yake ya risasi 16 ikishasikilizwa mara moja ndio imeshasikilizwa mara zote itachokwa mapema sana. Katoka huko yupo kuponda maendeleo na kazi ya Magufuli badala ya kusema atawafanyia nini.

CCM wanakazi nyepesi kweli, binafsi wala sishangai.
Pigwa wewe Risasi 16 kisha ukipona Ile ikawa kimya.
Taratibu tutaelewana tu
 
T
TBC mmepoteza heshima mbele ya taifa mlichoifanyia chadema Leo ni kuihujumu hamkwenda pale kwa weledi.

Lengo lenu ilikuwa ni kuihujumu chadema na si kuitangaza mbaya zaidi mna hujuma za kitoto na za kishamba Sana.

Ujinga mlioufanya.

1.Aina za picha mlizochukua ni close lengo msionyeshe wingi wa watu.

2.Wakati mbowe anaongea mkakata sauti yake mkawa mnajadiliana utopolo wenu wa Bibi na bwana kwenye tv ya taifa Sasa swali!

Je lengo lilikuwa tuwasikie wale mtu na mkewe pale TBC au mbowe aliekuwa anaongea muda ule?

Mna mambo ya kishamba Sana TBC Ila ombeeni CCM ibaki madarakani mpaka mnaingia kaburini....!

Mbaya zaidi mnaofanya hujuma hizi ni vijana mnaotazamiwa kuishi muda mrefu mnatumika kishamba kuuwa weledi wenu wapumbavu kabisa nyie TBC.
Wa kwanza kukatwa alikuwa Lema wa Arusha alipotaja tu jina la Magufuli kama ametaja Jina la Bwana Mungu wake bure, tumekatazwa na Amri Kumi za Mungu.
 
Alipo teuliwa yule Dr Lyooba nikawa na imani kuwa angekuwa ni muarobaini wa kuifanya tbc ijirekebishe lkn wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam, Ryoba Ayubu kabla ya kiteuliwa kuiongoza TBC alikuwa mtu wa kuaminiwa sana. Aliandika makala nyingi sana kwenye gazeti la Rai la kipindi kile, makala zenye kukemea linalofanywa shirika analo liongoza kwa sasa, alihimiza haki, alihimiza demokrasia,.............angalia anacho kifanya sasa hivi!. Inasikitisha sana.
 


Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.

TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.

Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.

Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.

TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.

Elizabeth Mramba acha upoyoyo na hao wazushi wenzako kina Mkama/Amini Anthony Mgeni , nimewajua kwasababu wote mlikuwa mlimani ,kwanini alivyoanza kupiga spana Lema mka mute sauti na kujiweka nyinyi na comment zenu? Uchambuzi unatakiwa ufanyika kipindi ambapo hakuna mtu anayetoa nondo labda kama MC anaongea.
 
Nimemsikiliza Mbowe akiwafukuza, kwa namna kuhamasisha umati sasa usishangae akiitwa polisi kutolea ufafanuzi lugha aliyotumia ambayo imetishia usalama wa wafanyakazi wa TBC.

Matatizo mengine CDM wanajitafutia
Si matatizoni ya kujitakia, bali uamuzi sahihi ulotakiwa kuchukuliwa. Hata kwa akili za chekechea utabaini kuwa TBC walikuwa pale kiunafki nafiki tu.
 
Akili za CDM wote sawa kuanzia viongozi wao wa juu mpaka wafuasi wa mtaani.

Lazima watafute mtu wa kumtolea hasira zao mambo yanapoenda kombo, mkutano umeenda ndivyo sivyo kwenye umati awataki TBC warushe, ata JF ukimkosoa Lissu lazima kuna jitu litataka likutee hasira zake kwako.

Pamoja na kutaka kuona Magufuli anashinda lakini sio mapema hivi. Ikimbukwe asilimia kubwa ya kura millioni 6 za Lowassa 2015 zilipatikana Dar, kwa mapokezi ya Lissu mmh hapo kama vile hana chake.

Watu wengi wameshauri sana jamaa story yake ya risasi 16 ikishasikilizwa mara moja ndio imeshasikilizwa mara zote itachokwa mapema sana. Katoka huko yupo kuponda maendeleo na kazi ya Magufuli badala ya kusema atawafanyia nini.

CCM wanakazi nyepesi kweli, binafsi wala sishangai.
Ondoa !!
 
Katika hili, Mbowe amekosea. Kama kiongozi wa chama ambacho kila wakati kinalalamikia serikali kwa 'kuminya' uhuru wa vyombo vya habari, Mbowe hakupaswa 'kuiminya' tbc kwa kuifukuza palepale mkutanoni bila hata kupata muda wa kutafakari athari za maamuzi yake. Ni mfano mbaya kwa chama kinachosema kipo tayari kushika dola na kutoa uongozi mbadala kwa nchi.
Tbc walijiminya wenyewe, walitoka ofisini kwao kwa ajili ya kurusha mkutano wa Chadema live, badala yake wakarusha mengine wanayo juwa wao. Kwa ufupi uwepo wao pale ulikuwa ni upotevu wa muda na matumizi mabaya ya nguvu kazi. Alowafukuza kawasaidia.
 
Back
Top Bottom