Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
T
TBC mmepoteza heshima mbele ya taifa mlichoifanyia chadema Leo ni kuihujumu hamkwenda pale kwa weledi.
Lengo lenu ilikuwa ni kuihujumu chadema na si kuitangaza mbaya zaidi mna hujuma za kitoto na za kishamba Sana.
Ujinga mlioufanya.
1.Aina za picha mlizochukua ni close lengo msionyeshe wingi wa watu.
2.Wakati mbowe anaongea mkakata sauti yake mkawa mnajadiliana utopolo wenu wa Bibi na bwana kwenye tv ya taifa Sasa swali!
Je lengo lilikuwa tuwasikie wale mtu na mkewe pale TBC au mbowe aliekuwa anaongea muda ule?
Mna mambo ya kishamba Sana TBC Ila ombeeni CCM ibaki madarakani mpaka mnaingia kaburini....!
Mbaya zaidi mnaofanya hujuma hizi ni vijana mnaotazamiwa kuishi muda mrefu mnatumika kishamba kuuwa weledi wenu wapumbavu kabisa nyie TBC.
Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.
TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.
Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.
Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.
TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.
TBC mmepoteza heshima mbele ya taifa mlichoifanyia chadema Leo ni kuihujumu hamkwenda pale kwa weledi.
Lengo lenu ilikuwa ni kuihujumu chadema na si kuitangaza mbaya zaidi mna hujuma za kitoto na za kishamba Sana.
Ujinga mlioufanya.
1.Aina za picha mlizochukua ni close lengo msionyeshe wingi wa watu.
2.Wakati mbowe anaongea mkakata sauti yake mkawa mnajadiliana utopolo wenu wa Bibi na bwana kwenye tv ya taifa Sasa swali!
Je lengo lilikuwa tuwasikie wale mtu na mkewe pale TBC au mbowe aliekuwa anaongea muda ule?
Mna mambo ya kishamba Sana TBC Ila ombeeni CCM ibaki madarakani mpaka mnaingia kaburini....!
Mbaya zaidi mnaofanya hujuma hizi ni vijana mnaotazamiwa kuishi muda mrefu mnatumika kishamba kuuwa weledi wenu wapumbavu kabisa nyie TBC.