Shirika linaweza kutoa gawio (dividends) hata kama limepata hasara

Asante kwa uzi huu soma hapa
Ni maduhuli na sio dividends.
P
 
Sijui nikupe heko au hongera, yaani mtu ukizoea ujinga unakuwa mjinga hata kwa vitu visivyohitaji ujinga.
 
Umeona kipi kinachosapoti story yako ya uongo? Hapo waliposema assets zinaweza kutumika kama dividend unajua ni katika situation gani? Je, hiyo situation ATCL waliifikia na ni assets zipi zilikuwa distributed kwa Wabia?
A company’s dividends should be coming out of its cash flow, which can still be positive even if the company makes a loss. The company may make a loss for a variety of reasons, such as depreciation of assets, or it may have made some other investments of its own that have not yet paid off and so forth, so a loss does not intrinsically mean the company is in trouble. As such, some companies can make a loss and keep paying dividends without any concern.
 
Umeona kipi kinachosapoti story yako ya uongo? Hapo waliposema assets zinaweza kutumika kama dividend unajua ni katika situation gani? Je, hiyo situation ATCL waliifikia na ni assets zipi zilikuwa distributed kwa Wabia?
situation inajulikana lakini kampuni kurekodi loss kwenye p&l inaweza kuwa na positive cashflow ikalipa gawio au kama kuna earning fom previous years au pia kama inaweza kopa itafanya hivyo inategemea na situation
 
Siyo kweli.

Mimi ni mwanahisa wa Crdb dividends tunapewa benk inapopata faida.

Kwanza wanalipwa preffered shareholders halafu ndio sisi makabwela yaani ordinary!
inategemea na situation wakati mwingine haiko hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…