chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
- Thread starter
- #81
soma link hapo juuUko vzur sana, hivyo tu uwezi tuma na kutolea bila kuwa na faida, mfano mzuri sana unapaswa kupewa cheo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
soma link hapo juuUko vzur sana, hivyo tu uwezi tuma na kutolea bila kuwa na faida, mfano mzuri sana unapaswa kupewa cheo
Wafuasi wa mwendazake mna mambo sana....
Hadi mnaanza kudhani kuwa jopo la wahasibu (wakaguzi) wenye CPA waliojaa ofisi ya NAOT hawajui mambo ya gawio! Walifaulu vipi CPA zao?
Ungeweza kuleta mada yako kivingine
Kwema wanaJF,
Kumekuwa na watu wanasema ATCL ilipata hasara kwa hiyo haikupaswa kutoa gawio dhana ambayo sio kweli kwa kuwa gawio hutoka kwenye cash flow iliyopo kwenye shirika na sio mpaka pawe na faida kwenye financial statement.
Kama cash flow ipo gawio linatolewa vizuri tu. Tena hata kama shirika limepata hasara hukopa kulipa gawio japo hio njia ni so risk.
Nashangaa hata CAG Uttoh hajui gawio hupatikana vipi nabaki nasema hiiiiiiii
![]()
When a company made a net loss, can it still pay dividends to its shareholders? How does the company pay dividends and what are the impli...
Answer (1 of 14): When a company made a net loss, can it still pay dividends to its shareholders? How does the company pay dividends and what are the implications towards that company? A company might record a net loss on its income statement while remaining cash flow positive. Look at the cash ...www.quora.com
Luis Uttoh apumzike tu. Wala msimsikilize kwa kuwa huwa hana kauli thabiti ya kiuhasibu.Kwema wanaJF,
Kumekuwa na watu wanasema ATCL ilipata hasara kwa hiyo haikupaswa kutoa gawio dhana ambayo sio kweli kwa kuwa gawio hutoka kwenye cash flow iliyopo kwenye shirika na sio mpaka pawe na faida kwenye financial statement.
Kama cash flow ipo gawio linatolewa vizuri tu. Tena hata kama shirika limepata hasara hukopa kulipa gawio japo hio njia ni so risk.
Nashangaa hata CAG Uttoh hajui gawio hupatikana vipi nabaki nasema hiiiiiiii
![]()
When a company made a net loss, can it still pay dividends to its shareholders? How does the company pay dividends and what are the impli...
Answer (1 of 14): When a company made a net loss, can it still pay dividends to its shareholders? How does the company pay dividends and what are the implications towards that company? A company might record a net loss on its income statement while remaining cash flow positive. Look at the cash ...www.quora.com
Kiongozi Akiagiza linatoa mbona Bunge na Udsm walitoa wakati hawafanyi BiasharaKwema wanaJF,
Kumekuwa na watu wanasema ATCL ilipata hasara kwa hiyo haikupaswa kutoa gawio dhana ambayo sio kweli kwa kuwa gawio hutoka kwenye cash flow iliyopo kwenye shirika na sio mpaka pawe na faida kwenye financial statement.
Kama cash flow ipo gawio linatolewa vizuri tu. Tena hata kama shirika limepata hasara hukopa kulipa gawio japo hio njia ni so risk.
Nashangaa hata CAG Uttoh hajui gawio hupatikana vipi nabaki nasema hiiiiiiii
![]()
When a company made a net loss, can it still pay dividends to its shareholders? How does the company pay dividends and what are the impli...
Answer (1 of 14): When a company made a net loss, can it still pay dividends to its shareholders? How does the company pay dividends and what are the implications towards that company? A company might record a net loss on its income statement while remaining cash flow positive. Look at the cash ...www.quora.com
King Bill umepiga vizuri, huo ndiyo uhasibu ninaoufahamu. Hao wanaogawana dividend wakiwa na loss "wanatakatisha fedha"Acha uongo wa mchana kweupe!
Gawio hutolewa kutoka kwenye faida ya kampuni baada ya kuidhinishwa na bodi na si vinginevyo.
Hicho unachokisema wewe kinaweza kutokea kwenye jamhuri ya banana tu. Huko kwenye jamhuri zingine hakuna kitu kama hicho!
Ni wajinga tu wanaoweza kuamini huu uongo wako na ujinga wako!
Gawio linalipwa kutokana na faRaida iliyopatokana.kutoa gawio sio mpaka uwe na profit acha kukariri
Wewe unawauliza Quora? Wale si lazima wawe wajuzi. Ni watoa maoni kama wewe. Huwa wanakosea. Hata hivyo huyo aliyekujibu alimaanisha kuwa unaweza kulipa dividend ikiwa mwaka huo mmoja ndio wenye hasara huku miaka mingine ina pesa nzuri, na akatahadharisha kuwa kulipa divident huku una hasara kote kwa kukopa ni hatari sana kwa kampuni. Hukuelewa Kiingereza chake?Kwema wanaJF,
Kumekuwa na watu wanasema ATCL ilipata hasara kwa hiyo haikupaswa kutoa gawio dhana ambayo sio kweli kwa kuwa gawio hutoka kwenye cash flow iliyopo kwenye shirika na sio mpaka pawe na faida kwenye financial statement.
Kama cash flow ipo gawio linatolewa vizuri tu. Tena hata kama shirika limepata hasara hukopa kulipa gawio japo hio njia ni so risk.
Nashangaa hata CAG Uttoh hajui gawio hupatikana vipi nabaki nasema hiiiiiiii
![]()
When a company made a net loss, can it still pay dividends to its shareholders? How does the company pay dividends and what are the impli...
Answer (1 of 14): When a company made a net loss, can it still pay dividends to its shareholders? How does the company pay dividends and what are the implications towards that company? A company might record a net loss on its income statement while remaining cash flow positive. Look at the cash ...www.quora.com