Waache waisome nambaMnaumia sana. Huko CAF mnafanya nini kama si kusindikiza tu. Yaani ukishinda wewe, si vibonde, wakishinda wenzako ni vibonde.
Sizitaki mbichi hizi achana naye haoUtadhani huko Champions League mnafanya cha maana.
Unaumia ukiwa wapi wewe kilaza, basi tulinganishe Real bamako na vipers mliocheza nao mkapata kigoli cha papatu papatu, Au tuwape hao bamako tuone mnawafunga goli ngapiTembea uyaone, huku shirikisho ambapo Yanga yupo ni yeye tu ashindwe kupita lakini timu za huku ni za mchongo kama hawa Bamako ni timu ya kawaida mno hata jezi zao zina akisi ninachokisema.
Yanga wakishashindwa kuwafunga hawa Mbeya City wa mali basi ligi yetu itakuwa ni dhaifu mno
Yanga kapata kundi kitonga sana akishindwa kutoboa mwaka huu basi atasubiri sana.
Simba imecheza na Mashabiki full house na katandikwa Kwa Mkapa, Kule mmecheza na Horoya wakiwa na Mashabiki Hamsini tu na wamewatandika.Ajabu timu inacheza hata mashabiki wa nyumbani kwao hawaendi kutazama mpira, majukwaa meupee.
Halafu eti mnawafunga hawa mnashangilia[emoji1787][emoji1787]
Kwani mlivyocheza full house na Raja mashabiki waliwafungia goli ngapi labda? Kikosi chako kama ni kibovu ni kibovu tu ata uwanja ukijaa mashabiki wa nchi nzima unapigika tu kama mlivyopigika upo apo,Ajabu timu inacheza hata mashabiki wa nyumbani kwao hawaendi kutazama mpira, majukwaa meupee.
Halafu eti mnawafunga hawa mnashangilia[emoji1787][emoji1787]
Vipi kuhusu kundi la vipers ni gumu eti?🤣🤣🤣Jamaa ni weupe sana,Mazembe wamekuwa wazembe kabisa yani kundi jepesi sana wakishindwa kusonga mbele sijui ni lini tena wataweze bahati ya mtende kabisa hii kwa Yanga.
Hawa Mliocheza nao Jana SI ndo igefu ya bongo. Sio wa mchongo
Wagumu hao, ukitaka kujua hilo waulize Yanga na Wazembe Mazembe watakujibuVIP kuhusu vipers!?
Wagumu hao, ukitaka kujua hilo waulize Yanga na Wazembe Mazembe watakujibuVipi kuhusu kundi la vipers ni gumu eti?🤣🤣🤣
kule ni kwa wakubwa bro siyo shirikisho kaa kwa utulivu, ni mbingu na ardhi.Vipi kuhusu kundi la vipers ni gumu eti?🤣🤣🤣