Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha, mzee mangungu yeye anapokea lawama tuKapokea try again
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha, mzee mangungu yeye anapokea lawama tuKapokea try again
Toka kipindi kile Cha ufunguzi wa kombe mbona aliwekwa pending na akatambulishwa Mo dewjHahahaha, mzee mangungu yeye anapokea lawama tu
Kuwasahaulisha na kuwafariji kwa kipigo cha 5GTuzo ya mashabiki tena,
Wenye nidhamu na uelewaTuzo ya mashabiki tena,
DahToka kipindi kile Cha ufunguzi wa kombe mbona aliwekwa pending na akatambulishwa Mo dewj
Anajua kiingereza?KWanini hajaenda Mangungu kuchukua hiyo tuzo?
Unakoelekea utauliza kwa nini mashabiki wenyewe hawakuenda kupokea tuzo yao!KWanini hajaenda Mangungu kuchukua hiyo tuzo?
Mashabiki wenyewe waliletewa mbwa kwenye uwanja wa uhuru mechi dhidi ya namungo wasifanye fujo juzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]#AFRIKAKUSINI: MASHABIKI WA SIMBA WAPATA TUZO YA MASHABIKI BORA #AFL
Klabu ya @SimbaSCTanzania imefanikiwa kupata tuzo ya kuwa na mashabiki bora katika mashindano ya African Football League (#AFL ) na Tuzo hiyo imechukuliwa na Mwenyekiti wa Bodi, Salim Muhene (Try Again).
======
AaahaaaaMashabiki wenyewe waliletewa mbwa kwenye uwanja wa uhuru mechi dhidi ya namungo wasifanye fujo juzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Du mnasgangilia tuzo ya Mashabiki [emoji16]Vibudu fc
Wanywa supu fc
Masaptasapta fc
Samalekoo...
Sisi ndo Simbaa mashabiki
Hela walopata inawatosha...
Mangungu kwenye mafanikio hayumo ila kwenye mabalaaKWanini hajaenda Mangungu kuchukua hiyo tuzo?