Shirikisho la mpira Africa (CAF) limeizawadia Simba sc tuzo ya Mashabiki Bora katika michuano ya African football league

Kombe la nidhamu, kombe la ushabiki. Hizi huwa ni tuzo kwa timu zilizofeli, fuatilia kuanzia Shule mtaniambia.
 
Kombe la nidhamu, kombe la ushabiki. Hizi huwa ni tuzo kwa timu zilizofeli, fuatilia kuanzia Shule mtaniambia.
Tofautisha tuzo ya nidhamu kwenye mashindano ya gongouto na hizi tuzo unazopewa mbele ya viongozi na macho ya Africa yanatazama. katika ulimwengu wa soka hii ni nzuri kwenye ligi yetu hata ukitaka kusajili mchezaji mwenye ushindani unakuwa na kanafasi, mchezaji anajua naenda kwenye ligi ambayo kuna vibe na hakujapoa.
 
Baada ya kuwaingizia mabilion ndio wanakuja kuwaliwaza na tuzo za kipumbavu kiasi hiki?.
 
Mnapo msakama.mangungu mnakosea.wakuwasakama.ndio hao akina JARIBU TENA
 
Onyesha katika picha wapi imeandikwa Simba Fans!

Try Again ametuwakilisha Watanzania wote kupokea hiyo tuzo na inatakiwa ipelekwa TFF!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…