Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25
.
1. Al Ahly (Egypt) – 87 points
2. Esperance (Tunisia) – 61 points
3. Wydad AC (Morocco) – 60 points
4. Mamelodi Sundowns (South Africa) – 54 points
5. Zamalek (Egypt) – 48 points
6. RS Berkane (Morocco) – 42 points
7. Simba (Tanzania) – 39 points
8. Petro de Luanda (Angola) – 39 points
9. TP Mazembe (DR Congo) – 38 points
10. CR Belouizdad (Algeria) – 36 points
.
Chama lako namba ngapi hapo __!![emoji116]

Utopolo ni kama wanafanya harakati za Pimbi

20240814_094956.jpg
 
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25
.
1. Al Ahly (Egypt) – 87 points
2. Esperance (Tunisia) – 61 points
3. Wydad AC (Morocco) – 60 points
4. Mamelodi Sundowns (South Africa) – 54 points
5. Zamalek (Egypt) – 48 points
6. RS Berkane (Morocco) – 42 points
7. Simba (Tanzania) – 39 points
8. Petro de Luanda (Angola) – 39 points
9. TP Mazembe (DR Congo) – 38 points
10. CR Belouizdad (Algeria) – 36 points
.
Chama lako namba ngapi hapo __!![emoji116]


Utopolo ni kama wanafanya harakati za Pimbi View attachment 3069484
Shirikisho la soka Africa (CAF) limetoa ratiba ya miamba ya Africa itakayopambana kutafuta mwamba wa Africa ngazi ya vilabu. Vipi chama lako imepangwa dhidi ya mwamba yupi?
 

Attachments

  • 20240711_154127.jpg
    20240711_154127.jpg
    132.5 KB · Views: 46
Zamalek ilishajifia kitambo, huu mfumo wa kufanya ranking kutokana na points ni WA kijinga sana, zamalek anakaa hapo kutakana na mafanikio ya miaka 10 iliyopita

Wafanye wawe wanafanya ranking hata ya misimu mitano nyuma
Ranking inafanywa kwa misimu mitano sio miaka 10. Zamalek ni bingwa wa CAFCC msimu ulioisha.
 
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25
.
1. Al Ahly (Egypt) – 87 points
2. Esperance (Tunisia) – 61 points
3. Wydad AC (Morocco) – 60 points
4. Mamelodi Sundowns (South Africa) – 54 points
5. Zamalek (Egypt) – 48 points
6. RS Berkane (Morocco) – 42 points
7. Simba (Tanzania) – 39 points
8. Petro de Luanda (Angola) – 39 points
9. TP Mazembe (DR Congo) – 38 points
10. CR Belouizdad (Algeria) – 36 points
.
Chama lako namba ngapi hapo __!![emoji116]


Utopolo ni kama wanafanya harakati za Pimbi View attachment 3069484
Utopwise wamejitahidi.Wa tano!😂😂😂
 
Zamalek ilishajifia kitambo, huu mfumo wa kufanya ranking kutokana na points ni WA kijinga sana, zamalek anakaa hapo kutakana na mafanikio ya miaka 10 iliyopita

Wafanye wawe wanafanya ranking hata ya misimu mitano nyuma
Kwa hiyo watumie akili zako?🤔
 
Zamalek ilishajifia kitambo, huu mfumo wa kufanya ranking kutokana na points ni WA kijinga sana, zamalek anakaa hapo kutakana na mafanikio ya miaka 10 iliyopita

Wafanye wawe wanafanya ranking hata ya misimu mitano nyuma
Mabingwa wa kombe la shirikisho barani afrika msimu uliopita unasemaje kua wamejifia unalijua soka kweli wewe?

Kama utopolo kufika fainali ya kombe la shirikisho walifanya sherehe na ikawabust kupanda kwenye rank za CAF wewe ni nani uwadharau mabingwa au haujui kia Zamalek ndo mabingwa wa kombe la shirikisho?
 
Back
Top Bottom