Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25

Sasa faraja imepatikana ya kuwaliwaza siku kadhaa kabla haijafanyika factory data reset.

Anyways, Awesu na Lawi wamerudi timu zao za msimu uliopita baada ya kula pesa za ma KJ
 
Bahati nzuri hizi rank ni za miaka mitano sasa zitakapoanzia ule mwaka Yanga alitinga Fainali tusije kusema ni rank fake [emoji12][emoji1787]
 
1000165752.jpg
 
Mashabiki wa simba acheni ujinga mtakuwa mnajifariji na mambo ya kijinga na yakipumbavu simba ni mambumbumbu kasoro mimi
 
Bahati nzuri hizi rank ni za miaka mitano sasa zitakapoanzia ule mwaka Yanga alitinga Fainali tusije kusema ni rank fake [emoji12][emoji1787]
Hujui kitu omba uelekezwe, utopolo walijikusanyia vipoint vyao ambavyo haviwasaidii kuingia nda i ya top 10,

kinachokupa point za kupanda rank ni mwendelezo wa kufanya vizuri kwenye Michuano ya CAF
 
Hata na hivyo Yanga wamehitahidi sana, kutoka nafasi ya 72 mpaka 11 ndani ya miaka miwili! Amevuna alama 32 alama 7 tu chini ya Simba. Nadhani mwaka huu itaingia top 5
Ilikuwaje mkawa wa 72?
 
Bahati nzuri hizi rank ni za miaka mitano sasa zitakapoanzia ule mwaka Yanga alitinga Fainali tusije kusema ni rank fake [emoji12][emoji1787]
Duuuh umevuta bangi ya wapi wewe? Unazani bila ile fainali ungekuwa na points 32?
 
CAF ya kishenzi sana, Yanga lazima hapo ikae namba 5 kama wanafuata haki
 
Tujiulize tu, hawa makolo hizi points wamezihangaikia kwa muda gani? Na Yanga kapiga points nyingi kipindi gani? Kwa jinsi ilivyo msimu ujao wa mashindano ya CAF Yanga anaenda kumzidi Makolo kwa wingi wa points. Na hakika atakuwa kwenye 5 bora!
 
Zamalek ilishajifia kitambo, huu mfumo wa kufanya ranking kutokana na points ni WA kijinga sana, zamalek anakaa hapo kutakana na mafanikio ya miaka 10 iliyopita

Wafanye wawe wanafanya ranking hata ya misimu mitano nyuma
Heeee 😄 😄 😄
 
Ukipitia comment za huu ndio utajua nyuma mwiko hawana akili.
 
Back
Top Bottom