mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Ndo ubingwa wao. Hawana timu imara wanasaka furaha Kwa nguvu.Andaeni Timu... Vifuraha vidogo vidogo mnavyovipata sasa kwa kuona Mnawazidi Nyuma Mwiko Havitawasaidia Miaka miwili Ijayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ubingwa wao. Hawana timu imara wanasaka furaha Kwa nguvu.Andaeni Timu... Vifuraha vidogo vidogo mnavyovipata sasa kwa kuona Mnawazidi Nyuma Mwiko Havitawasaidia Miaka miwili Ijayo
Mwaka huu target ni kubeba ndoo kabisa ama sivyo hawa vyura watatuzidi na walivyo na kelele patakuwa hapakaliki. Point za CAFCC ni ndogo kuliko za CAFCL.Simba ving'ang'anizi. Tujitahidi tufike nusu fainali,la sivyo tutashuka
Zamalek wamesharudiZamalek ilishajifia kitambo, huu mfumo wa kufanya ranking kutokana na points ni WA kijinga sana, zamalek anakaa hapo kutakana na mafanikio ya miaka 10 iliyopita
Wafanye wawe wanafanya ranking hata ya misimu mitano nyuma
Zamalek ameshajifia, ni sawa na Al ahly kuja kushangilia kuchukua shirikisho, au man u wanavyofurahia kuchukua Europa/faMabingwa wa kombe la shirikisho barani afrika msimu uliopita unasemaje kua wamejifia unalijua soka kweli wewe?
Kama utopolo kufika fainali ya kombe la shirikisho walifanya sherehe na ikawabust kupanda kwenye rank za CAF wewe ni nani uwadharau mabingwa au haujui kia Zamalek ndo mabingwa wa kombe la shirikisho?
Wewe mwenye timu upo namba ngapi hapo?Andaeni Timu... Vifuraha vidogo vidogo mnavyovipata sasa kwa kuona Mnawazidi Nyuma Mwiko Havitawasaidia Miaka miwili Ijayo
Rudi kashabikie netball soka haulijuiZamalek ameshajifia, ni sawa na Al ahly kuja kushangilia kuchukua shirikisho, au man u wanavyofurahia kuchukua Europa/fa
Sisi kama Uto....hatukubali hiliSHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25
.
1. Al Ahly (Egypt) – 87 points
2. Esperance (Tunisia) – 61 points
3. Wydad AC (Morocco) – 60 points
4. Mamelodi Sundowns (South Africa) – 54 points
5. Zamalek (Egypt) – 48 points
6. RS Berkane (Morocco) – 42 points
7. Simba (Tanzania) – 39 points
8. Petro de Luanda (Angola) – 39 points
9. TP Mazembe (DR Congo) – 38 points
10. CR Belouizdad (Algeria) – 36 points
.
Chama lako namba ngapi hapo __!![emoji116]
Utopolo ni kama wanafanya harakati za Pimbi
View attachment 3069484
Japo kwasasa yanatuzidi kila kitu...Kwenye hiyo list kuna timu nimetumia mpaka microscope kuitafuta lakini wapi
Msimu uliopita kauli ilikua ni hii, subili subili fcNi suala la muda tu WANANCHI kuingia top 10, subiri CAFCL ya msimu huu iishe
Yanatuzidi Uchawi tuJapo kwasasa yanatuzidi kila kitu...
Mpaka time ifike!It's a matter of time tutaelewana tu
Kwa pira linalochezwa utopoloni, itatuchukua mda kuwafikia na kuwapita...Yanatuzidi Uchawi tu