Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
πππππShirikisho la soka Africa (CAF) limetoa ratiba ya miamba ya Africa itakayopambana kutafuta mwamba wa Africa ngazi ya vilabu. Vipi chama lako imepangwa dhidi ya mwamba yupi?
Sio misimu mitano ubora ranks zipangwe kwa msimu uliopita tu. Kwenye iyo list hapo ni al ahly na esparance tu wanaweza kutusumbua yanga lakini hao wengine wote tunapigaZamalek ilishajifia kitambo, huu mfumo wa kufanya ranking kutokana na points ni WA kijinga sana, zamalek anakaa hapo kutakana na mafanikio ya miaka 10 iliyopita
Wafanye wawe wanafanya ranking hata ya misimu mitano nyuma
Hebu weka ujinga wako pembeni una point ngapi Na Batiki lako?Mbumbumbu waache uhuni
Mafanikio hewaSHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25
.
1. Al Ahly (Egypt) β 87 points
2. Esperance (Tunisia) β 61 points
3. Wydad AC (Morocco) β 60 points
4. Mamelodi Sundowns (South Africa) β 54 points
5. Zamalek (Egypt) β 48 points
6. RS Berkane (Morocco) β 42 points
7. Simba (Tanzania) β 39 points
8. Petro de Luanda (Angola) β 39 points
9. TP Mazembe (DR Congo) β 38 points
10. CR Belouizdad (Algeria) β 36 points
.
Chama lako namba ngapi hapo __!![emoji116]
Utopolo ni kama wanafanya harakati za Pimbi
View attachment 3069484
Aaaah Mwasibu CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa umerudi tena huku.Simba ving'ang'anizi. Tujitahidi tufike nusu fainali,la sivyo tutashuka
Sema Kombe la losersMabingwa wa kombe la shirikisho barani afrika msimu uliopita unasemaje kua wamejifia unalijua soka kweli wewe?
Kama utopolo kufika fainali ya kombe la shirikisho walifanya sherehe na ikawabust kupanda kwenye rank za CAF wewe ni nani uwadharau mabingwa au haujui kia Zamalek ndo mabingwa wa kombe la shirikisho?
Ndiyo bingwa wa shirikishoZamalek ilishajifia kitambo, huu mfumo wa kufanya ranking kutokana na points ni WA kijinga sana, zamalek anakaa hapo kutakana na mafanikio ya miaka 10 iliyopita
Wafanye wawe wanafanya ranking hata ya misimu mitano nyuma
Kwenye hiyo list kuna timu nimetumia mpaka microscope kuitafuta lakini wapi
Kweki maana sio kwa mabatiki yale.Ni suala la Muda tu Yanga kufika Top 5
Msimu huu au unaofata Yanga anaingia Top 5
Huyu ni yanga alitaka kumponda simba kianaRanking inafanywa kwa misimu mitano sio miaka 10. Zamalek ni bingwa wa CAFCC msimu ulioisha.
Full time kwenye mpira ni dakika 90View attachment 3069809
Bila shaka ni hio
Tatizo la mbumbumbu ni empty brain mliyonayo, amjishughulishi kufikiria Wala kufanya research kujua izo rank zinapangwaje!SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25
.
1. Al Ahly (Egypt) β 87 points
2. Esperance (Tunisia) β 61 points
3. Wydad AC (Morocco) β 60 points
4. Mamelodi Sundowns (South Africa) β 54 points
5. Zamalek (Egypt) β 48 points
6. RS Berkane (Morocco) β 42 points
7. Simba (Tanzania) β 39 points
8. Petro de Luanda (Angola) β 39 points
9. TP Mazembe (DR Congo) β 38 points
10. CR Belouizdad (Algeria) β 36 points
.
Chama lako namba ngapi hapo __!![emoji116]
Utopolo ni kama wanafanya harakati za Pimbi
View attachment 3069484
Wapo nafasi ya ushirini akina ubwela ubwela a.k.a mbumbumbu fcWanajiliwaza tu wakamuulize Mbwaduke mzee wa data
Soma kwa sautiFull time kwenye mpira ni dakika 90
Sasa ebu niambie hiyo mechi iliyofika full time kwa matikeo hayo ikichezwa lini nduMagoma Jr?
Na huyu naskia ndio mnamuita mwalimu wenu.Soma kwa sauti
They are deserve hata wakikubali kubadilika hawatapata shida maana wataelewa tatz na itakua rahisi kurekebisha KEEP GOING WITH SIMBA SPORT CLUBSHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25
.
1. Al Ahly (Egypt) β 87 points
2. Esperance (Tunisia) β 61 points
3. Wydad AC (Morocco) β 60 points
4. Mamelodi Sundowns (South Africa) β 54 points
5. Zamalek (Egypt) β 48 points
6. RS Berkane (Morocco) β 42 points
7. Simba (Tanzania) β 39 points
8. Petro de Luanda (Angola) β 39 points
9. TP Mazembe (DR Congo) β 38 points
10. CR Belouizdad (Algeria) β 36 points
.
Chama lako namba ngapi hapo __!![emoji116]
Utopolo ni kama wanafanya harakati za Pimbi
View attachment 3069484