utazungumzia lile jengo la kibiashara pale msimbazi ;sindio!! unajua fadha yake inakwenda wapi? kama mtu kuwezi kufanya saving, huwezi kuwalipa wachezaji wako mpaka ulielie kwa wafadhili then utasema uana rasilimali?Mkuu japo mimi shabiki wa Yanga lakini utajiri sio lazima cash tu.
Unakokotoa na assets, brand, n.k.
Tajiri ni TIMU YA AZAM au ni BARHESATajiri kuliko tp mazembe?
Tanzania club tajiri Azam.
Tajiri miaka 50 huna Kiwanja chako!
Unaniuliza Kwani hujasoma nilichoandika?Tajiri ni TIMU YA AZAM au ni BARHESA
CHI YA TANZANIA NI TAJIRI,WATANZANIA NI TAJIRI AU MAGUFULI NDIO TAJIRI.HAPO NDIO MNACHANGANYA MAMBOAzam mbona hawapo
Hongereni kwa kijipa matumaini hewaKlabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.
Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.
Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa na Esperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.
Klabu tajiri zaidi Barani Afrika View attachment 712984
Mbumbumbu ni yule anayeambiwa timu yake ni tajiri wakati haina hata ofisi na yy anakubaliHivi unakumbuka Katibu Mkuu wa Cecafa aliwaitaje ninyi Vyura FC? Kama umeasahamu nitag...!
Nyinyi ndo ambao mkiambiwa kuwa Manchester inaongoza hamkubali kwa vile mmekariri kwa muda mrefu sana kuwa ni MadridTP Mazembe kama haipo top 3 hyo list itakuwa imepikwa
mleta mada hujui kama kupika data fake ni kosa la jinai?
Acha kuhamisha magoli. Jibu nilivyokuuliza. Au ulikuwa ni kinda kwenye soka wakati ule.. Eti Ofisi hakuna! kwani mkutano wa Simba SC wiki iliyopita ulifanyika wapi?Mbumbumbu ni yule anayeambiwa timu yake ni tajiri wakati haina hata ofisi na yy anakubali
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nyie ni kuwafundisha kwa mifano na maswali mtaelewa tu?.Hivi Wakisema Nchi ya Tanzania Tajiri au maskini unafikiri huwa wanaongelea utajiri wa Wananchi na raslimali zao au utajiri au umaskini wa Magufuli.Na pili utajiri wa Taasis sio vitu tu bali na watu.Sasa AZAM tofauti ya uwanja na Basi ni kitu gani zaidi wanacho.Mashabiki wao ni mbwiga na wafanyakazi wao.Na kama hujui hata huyo BARHESA ni shabiki wa Simba. Kinachokuchanganya ni kufananisha Utajiri wa TAASISI na MTU.Unafananisha AZAM na BARHESA,Kwa mawazo yako Timu ya AZAM ndio inamiliki meli, TV,RADIO na Viwanda. AZAM kama TIMU na TAASISI inayojitegemea bado sana kuzifika SIMBA au TIMU ya wananchi kama YANGA na Mzee wao AKILIMALI. Ndio maana SIMBA ipo juu ya TP MAZEMBE kwani hawajaangalia utajiri wa MOISE KATUMBI bali wa TP MAZEMBE Kama Taasisi inayojitegemeaUnaniuliza Kwani hujasoma nilichoandika?
Tajiri ni TIMU YA AZAM au ni BARHESA
timu yake ni tajiri wakati haina hata ofisi na yy anakubali
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hahahahahahhahahaha maninaaa mecheka vibayaLabda Caf ya Lipumba.
Wamekwambia by MARKET VALUE af we unaleta ushudu gani.Awa caf wehu sana.team haina hata uwanja eti inaipiku utajiri zamaleki
Au wamehesabu utajiri wa Mo wakaufanya ndio wa mikia.