Shirikisho la Soka Afrika CAF yataja Klabu ya Simba SC nafasi ya 5 kwa utajiri Barani Afrika

Status
Not open for further replies.

Nimeuliza swali dogo tu Maelezo meeengi Halafu yote hayajibu swali

Unajua determinants za ku value brand ya Timu?
 
Yaani ulaya hiyo hela haitoshi hata usajili wa wachezaji wawili. Sijui ya mwisho ina utajiri wa tsh mia ngapi
 
Naona wakina Manara washaona Ubingwa wa Bara hawaupati wameamua sasa kuja na hili ili kuwapumbaza Mambumbumbu wao ili wapate kitu cha kujisifia msimu huu.
Mkuu haya majamaa ni mambumbumbu kweli yanadanganywa kijinga yanakubali, hebu yaulize rufaa yao Fifa vp, wameanza kusahaulishwa ubingwa kimtindo.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kweli club za afrika ni masikini sana mpaka simba inaonek0an0a tajiri.
Uwanja wake unathamani gani.
Jengo billion ngapi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…