Shishi Baby amlia mingo Raymond wa WCB, Wanyonyana ndimi nje nje

Kitu kimoja ujue maisha ya msanii n tofauti kabisa na maisha ya mtu wa kawaida, wasanii wanakutana na vitu vingi na hasa vibaya (vishawishi, ulimbukeni, tamaa)ukishindwa kuvidhibiti vitu hivi basi mwisho wake huwa mbaya, m naamin hata yeye huyo harmonize kabla hajawa famous cdhani kama aliwahi kufanya upumbafu wa aina hiyo, huko ni kutojitambua na kushindwa kujisimamia, ngoja niishie hapa tu maana,,,,
 
Reactions: 911
Kama ni kweli hongera zao,maana kwa mujibu wa katiba yetu mtu mzima ni yule mwenye umri wa miaka 18+.Muacheni Raymond nae ajipigie,acheni wivu
 
Unayosema ni kweli tupu ila mama kama mlezi wa karibu wa mtoto kuna aibu yapaswa aziepuke na kukemea..umaarufu wa msanii isiwe chanzo cha kuvunja miiko ya malezi,hata kama mzazi ni maskini na anamtegemea huyo mtoto basi amkanye asimshirikishe kwenye maovu yake.
 
huo ni wivu sasa
 

Mtoa mada acha uwongo na kupotosha watu?? au nawewe ndo unazidi kumtafutia kiki dogo??
Iyo video clip ambayo walikuwa wanaimba,naona wewe umeamua kuscreen shot halafu uje na ubuyu wako humu
 
Iundwe Tume huru ya uchunguzi kuchunguza haya mambo
 
Reactions: 911

Aina ya malez na asil wengine tunapaswa kuonwa na wazaz tukiwa na wachumba kuanzia darasa la pili
 
Mimi niliona mama alishutukizwa hakupata muda wa kutafakari maana aliitwa kutamburishwa kwa mashabiki na hayo ya mkubwa mwenzie yakaingizwa hapo hapo, ukiangalia umri wa mama kijana na mpenzi wa kijana ni kama wanalingana tofauti yake huyu ana mirangi rangi kwenye nywele na makorombwezo kibao ndo kinamtofautisha na mama wa kijana, sijuhi kama anamuamkia maana tofauti ya umri ni ndogo sana.

Nina akika baada ya utamburisho waswahili watakuwa walimkosoa mama wa kijana so usishangae akaulizwa leo akaongea tofauti na tunavyomuhukukumu sasa.
 
Hahahaa..na watu hatupendi mazereu...
Mkuu hawa viumbe wana tabu sana, anaweza kukutangazia shoga au una kibamia, kumbe tu lengo lake la kukupa mzigo limeshindikana, cha msingi hapo dogo akacheki kitu cha miwaya kwanza kama furesh ruksa kujipigia
 
Shishi hanaga siri tungeshaona mapicha picha kwa Insta yake.
 
Siku moja nilikuwa natizama kipindi cha uswazi, mtangazaji (Zembwela) alikuwa anatafuta madrasa akaongea na mwalimu kijana kama 20 yrs. Kabla ya kutoka akajitokeza bibi kama miaka 55-60 akaanza kulalamika kuwa mumewe ana wanawake wengi hta chai hanywi nyumbani. Zembela akadhani ni utani, yule bibi kasema huyu ni mme wangu wa ndoa kabisa na majirani wakaafiki. Yule Ustaadhi aliona aibu na akakubali kuwa ni mke wake. Hivyo haya yanayotendeka ni kawaida na ndo maana mama yake Hamonize haoni tatizo ingawa maskini vijana hao wanakwaa magonjwa yawe ya kupitia mkuyati na kupitia midomoni kwa ajili ya kuzama bahari ya hindi.
 
Ukiona mwanaume anaakaa anajadili mahusiano ya kimapenzi ya mwanaume mwenzake ambaye pia ni rijali ma anazaidi ya miaka 18 basi muangalie huyo mwanaume kwa jicho la tatu...
 
Anne kilango Malecela na Bill Malecela wametofautiana miaka mitano tu(mama na mtoto).....Jiulize John Malecela ana umri gani

Reginald Mengi kamzidi KLynn miaka mingapi.....the list is endless

Reputable members wengi tu kwenye hii society either wameoa au kuolewa na watu waliowazidi umri and nobody cares.....

You guys are judgemental as f!
 
Hili kundi la wasafi lina nyota ya wema, wameshindwa kumpanta Diamond, wameamua kujiegesha kwa wacheza shoo wake.. nahisi kuna wanao omba kila siku zari na modi waachane ili wawe na mondi kiongozi wa wasafi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…