Buti la mkoloni
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 312
- 850
Habari za jion, naomba kupewa ufahamu juu ya hili,
Leo nilienda garage flani kwa ajili ya kubadilisha shockup gari ni crown athlete na ni shockup za rear wheel, sasa baada kumuelezea fundi na kuikagua gari akasema shockup zangu ni za umeme na pair zinauzwa laki 8.
Lakin sikuridhika na maelezo yake nikatafuta fundi mwengine naye akaikagua gari yeye akasema shockup zake pair ni laki 3 na kuhusu umeme kasema hapana hakuna umeme ila zile zinazo pachikwa kwa juu baada ya kufunga shockup ni sensor ambazo zinaelekeza uelekeo wa taa za gari kama ukikata kona na n.k.
Naomba kufahamishwa ukweli ni upi mana imenibidi swala la kubadili niache kwanza ili nipate kujiridhisha juu ya hili.
Leo nilienda garage flani kwa ajili ya kubadilisha shockup gari ni crown athlete na ni shockup za rear wheel, sasa baada kumuelezea fundi na kuikagua gari akasema shockup zangu ni za umeme na pair zinauzwa laki 8.
Lakin sikuridhika na maelezo yake nikatafuta fundi mwengine naye akaikagua gari yeye akasema shockup zake pair ni laki 3 na kuhusu umeme kasema hapana hakuna umeme ila zile zinazo pachikwa kwa juu baada ya kufunga shockup ni sensor ambazo zinaelekeza uelekeo wa taa za gari kama ukikata kona na n.k.
Naomba kufahamishwa ukweli ni upi mana imenibidi swala la kubadili niache kwanza ili nipate kujiridhisha juu ya hili.