Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

Kuna makosa makubwa zaidi ya huyu na watu waligewa option ya faini.

Kwa Idris nafikiri hukumu yake imezingirwa na ukweli kua Nigeria wana uislamu mkubwa pia jamii yao haikubaliani kwa uwazi na Idris au yoyote anayetaka kubadili jinsia au kua homosexual.

Hukumu imekua influenced na chuki na imani
 
Chakula ya Masela, watambakua sana "Nyu na Mbe"

Nadhan kaona aitumie kama Fulsa huko ataish kwa stareh sana kwani anaenda kufanya Biashara Gerezani sasa kwa wateja wenye uchu wa bidhaaa.

Scarcity of service with high demand. Akirudi ana ukwasi 4 times.
 
Kuna makosa makubwa zaidi ya huyu na watu waligewa option ya faini.

Kwa Idris nafikiri hukumu yake imezingirwa na ukweli kua Nigeria wana uislamu mkubwa pia jamii yao haikubaliani kwa uwazi na Idris au yoyote anayetaka kubadili jinsia au kua homosexual.

Hukumu imekua influenced na chuki na imani
Naunga
 
This is UNACCEPTABLE we should all be equal in eye of the law, hichi kitendo cha kumpa hukumu ya jela moja kwa moja pasipo faini ni cha kukemewa kwa nguvu zote.
Kwanza lipesa lenyewe la naira halina cha kujivunia chochote kwenye masoko ya fedha, watu huku Amerika tunawachambisha striper kwa dola na hamna anayepaniki. Kweli umasikini ni ushetani
 
Back
Top Bottom