Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Coca yaishe [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Khaaa wewe asubhi yote hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em kwendraaa!!!
 
Udugu nimekua ss hivi na nimewadharau vidampa wote wanaotafuta kiki, nishawachoka nabaki nawachora tyuu!!
Lamomy chama kubwa km Arsenal [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu umefail kwa arsenal hapo, sema km The citizens!!!
 
Wawaache mtambe mnavyoweza, hili jukwaa huru..!! Huko majumbani kesi nyingi wanawaomba mambo meusi wake zao, halafu huku wanajifanya wakereketwa mxiewwww.!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanachekeshaaa balaaa,
 
Umezidi kuswampa nasikia jana anko maba alitubless na pic kali, yupo km Chris brown [emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chris Brown wa Tandika labda, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em huko nawee.
 
Kuna jamaa maeneo ya mabibo hostels kipindi icho najichanganya sana kitaa alikua anafungwa jela kwa makosa madogo dogo(petty issues) kama wizi, kupiga watu and the likes.... Anafungwa kama miezi 6 ivi, baada ya kama miez minne anarudi kitaa Cha kushangaza haipiti wiki anafanya tukio tena anarudi jela, ikawa ndo trend yake


Kuja kuuliza naambiwa huyo ni mke wa mtu bwana ake yupo jela kifungo kirefu kama io mama watoto akiachiwa anarudi mtaani anapambana afanye tukio arudi kwa mme wake[emoji2]
Uongo huu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mi sina neno nasubiri aje coca hapa tuyamalize [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maana usije ukawasha moto bure hapa
Uyamalize na nani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukomeeeee, sitaki mazoea na wanao lelewa na mashangazi wa maporiniii. Woiiiiiih
 
Uyamalize na nani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukomeeeee, sitaki mazoea na wanao lelewa na mashangazi wa maporiniii. Woiiiiiih
Kwani shangazi na hili koloni lake?? 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom