Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
James delicious [emoji1] we nenda ukurasa wake ukajionee ya duniaAnatumia jina gani insta mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
James delicious [emoji1] we nenda ukurasa wake ukajionee ya duniaAnatumia jina gani insta mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji124]James delicious [emoji1] we nenda ukurasa wake ukajionee ya dunia
Hahahaaaa!!!Kinondoni pale mtaa wa Wibu shoga mmoja alikuwa anaitwa aunt Alli alimtukana dada wa watu mpaka akatapika
na ni wazuri hatari mpaka nashangaaga sana huu uumbaji wa miaka hiii sijui ni niniMwanaume ukiwa mzuri ndo madhara yake haya
Kajaribu utuletee mrejesho mkuuha ha ha jux kazi anayo ila nasikia ni mafundi kitandani kuliko madada?
Hahahah! Mkuu acha basi, Xi kuandika tu kwan Kuna tatzo ganMkuu ongezea na hii wanaume kuandika vepee au xaxa kwenye msg zao.
na yote sababu wanapewa audience, ingekuwa wanapuuzwa wala wasingewapa watu tabu.Kama kuna watu wana shobo za kukera hasa basi mashoga wanaongoza....wale binadamu wanajua kuongea nyoko wale...
Wadada ndi rafiki zao wakubwa na wanaowapa chati. Huwa naudhika sana.Dizain kama mnampa promo mijitu kama hii ni kuitenga tu kwenye jamii