say m jackson
Member
- Mar 8, 2018
- 12
- 15
Hawakujua nn kinafuat maan hakun anaewez kuion keshoWasanii walikuwa mstari wa mbele kuiweka tena CCM madarakani mwaka 2015...
Acha wakione cha mtema kuni...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakujua nn kinafuat maan hakun anaewez kuion keshoWasanii walikuwa mstari wa mbele kuiweka tena CCM madarakani mwaka 2015...
Acha wakione cha mtema kuni...
What is the meaning of the word ‘hallelujah’?Kwani halleluya manake nini
Jibu hapa nataka kujua wewe kwa uelewa wako
Sina muda huo wa kujibizana mkuu, wanaonielewa hawahitaji sana kujua hayo yote. Ukiona hujaelewa jua haikuhusu.Jibu hapa nataka kujua wewe kwa uelewa wako
Hatuwezi kukubali wanamuziki waharibu kizazi chetu kwa kutunga miziki isiyo na maadili eti kisa wanamuziki wanatafuta ela ya " pampasi" za watoto wao. Kama unataka biashara ya muziki inoge nchi fuata taratibu zilizopo.
Angekuwa makini hasingetumi mamilioni anayodai kutoa kitu cha hovyo! Hata hivyo walielezwa warekebishe wakagoma...wanalalamika nini sasa.
Wanabifu gani na huyo shonza???Wengi wana bifu na shonza ila nyimbo zilizofungiwa zinastahili kifungo. Shonza anapata umaarufu tu kwa kutajwa tajwa hadi raha
Diamond angekaa kimya tu, hiyo nyimbo yake ya Haleluya imewasikitisha wakristo wengi sana, ni kwakua tu hawana utaratibu wa kulalama publicly ila umewakwaza watu wengi.
Hao ndo viongoz watakaoipeleka njii kuwa middle economySa mbon kesha mjibu. Au alikua anawaza kwa sauti???
Bila kumtaja Magufuli wewe unakuwa unawashwa washwa
Ni kiongozi wao na bado endelea kuzoea..
Lini unakuja kujaribu kulima huku kijijini... eeeeeh chuma gumu
Boss wake kamsifia mond kwenda kutumbuiza Russia.Mbon kama ana muogopa mondi