KINSasante
Member
- Jul 1, 2024
- 6
- 28
Wakuu,
Nimekusanya mahitaji yangu na kwend sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya TIGOPESA MASTERCARDS.
Nikapokea msg ya kukatwa kwa malipo niliyofanya na nikawa najiandaa kuondoka na mzigo wangu nikapigwa stop,kwamba hawajapata malipo.
Nikaenda sehemu ya muhindi anayehusika nikamuonyesha kuwa nimelipia na nimeshakata lakini hao hawajapa msg,nikaambiwa nisubiri mpaka nipate msg.
Nimekaa kama nusu saa pale nimepiga simu TIGO wakaniambia ni kweli umelipa na hela imeshaenda kwao,lakini hawajapata msg kwasasabu ya network yao inashida hivyo chukua namba hizi waambie kuwa watrack kuona kuwa umeshafanya malipo.
Nikampa muhindi yule lakini akawa mkali na kusema hapana,rudisha mzigo bado sijapata msg,nikawaambia sasa naachaje mzigo wakati mmeshakata hela yangu.
Tumerumbana kwa kama 45mins, na kupiga simu kama mara 5 kwq TIGO kuongea nao lakini wapi wakakataa katakana kuelewa na kuambiwa niache mzigo mpaka wao wapate msg wakati mimi pia nimeshakatwa.
Nikaondoka na kuwaachia mahitaji yangu huku nikiwaza!Hivi ndio hela za kampeni zinatafutwa, kweli maskini unaweza kudhurumiwa haki yako hivihivi na wala usipate msaada wowote.
Nasubiri masaa 72 waliyosema kama hela itarudi kwangu au Kwasasabu imeshakatwa basi ndio imekula kwangu.
Nimekusanya mahitaji yangu na kwend sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya TIGOPESA MASTERCARDS.
Nikapokea msg ya kukatwa kwa malipo niliyofanya na nikawa najiandaa kuondoka na mzigo wangu nikapigwa stop,kwamba hawajapata malipo.
Nikaenda sehemu ya muhindi anayehusika nikamuonyesha kuwa nimelipia na nimeshakata lakini hao hawajapa msg,nikaambiwa nisubiri mpaka nipate msg.
Nimekaa kama nusu saa pale nimepiga simu TIGO wakaniambia ni kweli umelipa na hela imeshaenda kwao,lakini hawajapata msg kwasasabu ya network yao inashida hivyo chukua namba hizi waambie kuwa watrack kuona kuwa umeshafanya malipo.
Nikampa muhindi yule lakini akawa mkali na kusema hapana,rudisha mzigo bado sijapata msg,nikawaambia sasa naachaje mzigo wakati mmeshakata hela yangu.
Tumerumbana kwa kama 45mins, na kupiga simu kama mara 5 kwq TIGO kuongea nao lakini wapi wakakataa katakana kuelewa na kuambiwa niache mzigo mpaka wao wapate msg wakati mimi pia nimeshakatwa.
Nikaondoka na kuwaachia mahitaji yangu huku nikiwaza!Hivi ndio hela za kampeni zinatafutwa, kweli maskini unaweza kudhurumiwa haki yako hivihivi na wala usipate msaada wowote.
Nasubiri masaa 72 waliyosema kama hela itarudi kwangu au Kwasasabu imeshakatwa basi ndio imekula kwangu.