Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kipindi tupo maservice enzi izo kambi fulani kulikuwa na op ilio tutangulia sasa kulikuwa na kijana mmoja maarufu sana anaitwa ngosha so sisi op mpya tulivyo fika pale kikosini tukamkuta sisi tulikuwa majuorner yaan wadogo wale ndio sinior
Alikuwa anaishi kama afande yaani p staf hukuti anachangamana na maservice wenzie hata kidogo yeye marafiki zake ni p staff na alikuwa nawachoma wenzie
Ilikuwa akikukuta wewe journer unakosa anakupiga doso wakati anakupiga doso anakwbia una mugemea nan hapa kikosini unajua mm kwetu ni majeshi nina ndugu breged nina ndugu kanal uyo ndio mwenye cheo kidogo hadi meja general sisi kwetu wapo
Maisha yakawa ivyo kwa huyo kijana wakati jwtz imekuja fanya usahili kwa vijana yeye alikuwa ni mtu wakujitapa tu bog haliniachi mwisho wa siku bog limekuja kusomwa hayupo yaani hakutajwa kabisa baada ya hapo maisha yake yalikuwa ni ya kuchekwa na kutolewa mfano tu
Kuna la kujifunza hapoa
Alikuwa anaishi kama afande yaani p staf hukuti anachangamana na maservice wenzie hata kidogo yeye marafiki zake ni p staff na alikuwa nawachoma wenzie
Ilikuwa akikukuta wewe journer unakosa anakupiga doso wakati anakupiga doso anakwbia una mugemea nan hapa kikosini unajua mm kwetu ni majeshi nina ndugu breged nina ndugu kanal uyo ndio mwenye cheo kidogo hadi meja general sisi kwetu wapo
Maisha yakawa ivyo kwa huyo kijana wakati jwtz imekuja fanya usahili kwa vijana yeye alikuwa ni mtu wakujitapa tu bog haliniachi mwisho wa siku bog limekuja kusomwa hayupo yaani hakutajwa kabisa baada ya hapo maisha yake yalikuwa ni ya kuchekwa na kutolewa mfano tu
Kuna la kujifunza hapoa