Short story ya maisha ya jeshini

Short story ya maisha ya jeshini

Kipindi tupo maservice enzi izo kambi fulani kulikuwa na op ilio tutangulia sasa kulikuwa na kijana mmoja maarufu sana anaitwa ngosha so sisi op mpya tulivyo fika pale kikosini tukamkuta sisi tulikuwa majuorner yaan wadogo wale ndio sinior

Alikuwa anaishi kama afande yaani p staf hukuti anachangamana na maservice wenzie hata kidogo yeye marafiki zake ni p staff na alikuwa nawachoma wenzie


Ilikuwa akikukuta wewe journer unakosa anakupiga doso wakati anakupiga doso anakwbia una mugemea nan hapa kikosini unajua mm kwetu ni majeshi nina ndugu breged nina ndugu kanal uyo ndio mwenye cheo kidogo hadi meja general sisi kwetu wapo

Maisha yakawa ivyo kwa huyo kijana wakati jwtz imekuja fanya usahili kwa vijana yeye alikuwa ni mtu wakujitapa tu bog haliniachi mwisho wa siku bog limekuja kusomwa hayupo yaani hakutajwa kabisa baada ya hapo maisha yake yalikuwa ni ya kuchekwa na kutolewa mfano tu

Kuna la kujifunza hapoa
Kitu cha kijifunza ni andika Story kwa Lugha moja kwa Ufasaha.
Sinior hii inaandikwa Senior
Juorner hii inaandikwa Junior
 
Ukisikia hizi kauli jua huyu ni wewe.
😂😂😂😂😂Unataka kusema hakuna mjeda pis kali!??
Hakunaga mjeda wa kike pisi kali wote sura zimechachuka wamekomaa, umemuona yule aliyewatuma kumbaka binti wa Yombo? Ndio uhalisia wao 😹😹😹
 
Hamna bana mbona mie pale Lugalo nimekutana na wajeda pis kali wana utyako mchechetooo!?
Zilikuwa genye hizo, narudia tena wajeda pisi mbovu 🤣🤣🤣
Wanatumia nguvu sana kwenye mapenzi, kuna mmoja jirani yetu alikuwa anahonga kupata faraja ya kupendwa..
 
Zilikuwa genye hizo, narudia tena wajeda pisi mbovu 🤣🤣🤣
Wanatumia nguvu sana kwenye mapenzi, kuna mmoja jirani yetu alikuwa anahonga kupata faraja ya kupendwa..
Daah sio genye banaa 😂😂😂😂😂 au nikurushie pic umuone!?
 
Hakunaga mjeda wa kike pisi kali wote sura zimechachuka wamekomaa, umemuona yule aliyewatuma kumbaka binti wa Yombo? Ndio uhalisia wao [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom