Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Sio, ni policcm huyo.Kwa uzoefu wangu mdogo wa hizi habari jamaa Kwa sasa ni soldier kwenye kikosi flani Cha bakabaka na si mwalimu ila shida ni Moja ana ilmu ndogo ya D 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio, ni policcm huyo.Kwa uzoefu wangu mdogo wa hizi habari jamaa Kwa sasa ni soldier kwenye kikosi flani Cha bakabaka na si mwalimu ila shida ni Moja ana ilmu ndogo ya D 2
Ila Mwachii punguzaa kimuhe muhe, unaelekea kuharibu sasa.
Ona unavyojichoreshaaa hapaaa, em tulizanaa bhanaa.
Ntakuporaa cm hiyoo, mxxxxxiiiiiieeeeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂 Chombo gani Cha ulinzi huyu😂😂 alikimbia mwenyewe, walitaka kumua😂😂Pole sana! Hawa ndo vijana tulionao kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama
😂Kiuno level na Squat za kubeba mtu😥😥 Mimi Nitapata nightmare
Valuwens😂 kwamba operamini.... au basiWewe upo jeshi lipi? Ulipita vipi?
Basi jeshi siku hizi limechoka km watu aina yako nao wamejiunga nalo.. 😹😹
😂😂😂 usinitafute maneno bro winga.!Valuwens😂 kwamba operamini.... au basi
Mi naweweseka kiwendawazimu kama joram kumbi🤕nsije zua vurumai😂😂😂 usinitafute maneno bro winga.!
Huyo Mwachi itakuwa yupo kwenye mafunzo ya mgambo anamix na jeshi…
Jeshini wangemrudisha siku ya kwanza pale pale getini 😹
Kuelewa alichoandika tu unatakiwa uwe na mzinga wa konyagi pembeni 😹😹😹Mi naweweseka kiwendawazimu kama joram kumbi🤕nsije zua vurumai
Mzinga wote wa nini piga kisungura hiyo haina kuangukia mgongo unapigiza uso😂unakua na sigda flanKuelewa alichoandika tu unatakiwa uwe na mzinga wa konyagi pembeni 😹😹😹
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo maana hakumaliza Alitoroka jumla
[emoji23][emoji23] Chombo gani Cha ulinzi huyu[emoji23][emoji23] alikimbia mwenyewe, walitaka kumua[emoji23][emoji23]
Mtu hata haijui Ngere ngere, afu anasema yuko Msata anapiga jalambaa kupambania Kitengee.Wewe upo jeshi lipi? Ulipita vipi?
Basi jeshi siku hizi limechoka km watu aina yako nao wamejiunga nalo.. [emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinitafute maneno bro winga.!
Huyo Mwachi itakuwa yupo kwenye mafunzo ya mgambo anamix na jeshi…
Jeshini wangemrudisha siku ya kwanza pale pale getini [emoji81]
Natiririka na Story tu, Mimi siyajui 😂😂
Kumbe ulipita humo, mi nliendaga mujibu Ruvu hawakutukazia sana.....rafiki yangu alienda kigoma karudi Kawa kama mzee
Haya bn wape hai hapo kamandi kuuNatiririka na Story tu, Mimi siyajui 😂
🤣🤣🤣 Kanichekesha kweli eti haijui ngerengere, huyu kataka kuchangamsha kijiweMtu hata haijui Ngere ngere, afu anasema yuko Msata anapiga jalambaa kupambania Kitengee.
C bora hata mie, miez 3 ya mujibu, nimetoka na kituu.
Mwachiii anachekeshaa hatariiii. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kataka, ni haijui kwelii huyoo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kanichekesha kweli eti haijui ngerengere, huyu kataka kuchangamsha kijiwe
🤣🤣Unanivuruga tu, mi agooo 🤸🤸Haya bn wape hai hapo kamandi kuu
Mdogo wako ana vituko sana!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]