Short story ya maisha ya jeshini

Short story ya maisha ya jeshini

Ila Mwachii punguzaa kimuhe muhe, unaelekea kuharibu sasa.
Ona unavyojichoreshaaa hapaaa, em tulizanaa bhanaa.
Ntakuporaa cm hiyoo, mxxxxxiiiiiieeeeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pole sana! Hawa ndo vijana tulionao kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama
😂😂 Chombo gani Cha ulinzi huyu😂😂 alikimbia mwenyewe, walitaka kumua😂😂
 
Wewe upo jeshi lipi? Ulipita vipi?
Basi jeshi siku hizi limechoka km watu aina yako nao wamejiunga nalo.. [emoji81][emoji81]
Mtu hata haijui Ngere ngere, afu anasema yuko Msata anapiga jalambaa kupambania Kitengee.

C bora hata mie, miez 3 ya mujibu, nimetoka na kituu.
Mwachiii anachekeshaa hatariiii. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] usinitafute maneno bro winga.!
Huyo Mwachi itakuwa yupo kwenye mafunzo ya mgambo anamix na jeshi…
Jeshini wangemrudisha siku ya kwanza pale pale getini [emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtu hata haijui Ngere ngere, afu anasema yuko Msata anapiga jalambaa kupambania Kitengee.

C bora hata mie, miez 3 ya mujibu, nimetoka na kituu.
Mwachiii anachekeshaa hatariiii. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 Kanichekesha kweli eti haijui ngerengere, huyu kataka kuchangamsha kijiwe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kanichekesha kweli eti haijui ngerengere, huyu kataka kuchangamsha kijiwe
Sio kataka, ni haijui kwelii huyoo.
Unadhani hata yuko Msata? Yuko Ghettoni kwake akishiba chips zege na Pepsi, anaota yuko ndani ya kombati.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Back
Top Bottom