Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia dearmkwepu jr na raraa reree wanastshili uzi huu sio siri wanapamba ID zetu sana zinameremeta kww malike yao tu
Auntie subiria na me nikupandishie thread yakoBarikiwa sana Rafiki....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Auntie subiria na me nikupandishie thread yako
Nimecheka Sana.Weeeee kuna siku anakomentigi sasa Kuna komenti yake moja ya kuambiwa aache ushamba wa kula jicho watu tulishangaaaa kweli!!
Hao wapole waonege hivohivo tu wanakuaga Nyokko sana kwenye mtombano!
We subiri tu siku utakutana nayo tu auntie yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo ya kubadili I'd ipo jukwaa gani hivi si unajua vile nilivyo mvivu kutembea jf nikitoka makapuku naenda entertainment kusoma story[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilete Auntie wangu.Naisubiri...
Kuna ya jana huko na Issue ya kubadili ID Auntie..[emoji1787]
Umeiona?
We subiri tu siku utakutana nayo tu auntie yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo ya kubadili I'd ipo jukwaa gani hivi si unajua vile nilivyo mvivu kutembea jf nikitoka makapuku naenda entertainment kusoma story
Naisubiri Auntie[emoji23]We subiri tu siku utakutana nayo tu auntie yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo ya kubadili I'd ipo jukwaa gani hivi si unajua vile nilivyo mvivu kutembea jf nikitoka makapuku naenda entertainment kusoma story
Naisubiri Auntie[emoji23]
Nakujua sana wewe..
Ipo jukwaa la Chit chats huko....
Ningekuwa naweza kuweka link hapa ningekuwekea...
[emoji1787][emoji1787] ngoja niitafute mpaka niipateNaisubiri Auntie[emoji23]
Nakujua sana wewe..
Ipo jukwaa la Chit chats huko....
Ningekuwa naweza kuweka link hapa ningekuwekea...
Jamanii asante we mzeeCC cheupe
Thread 'Wanawake wa JF mliobadili ID mnatupa ugumu kutongoza' https://www.jamiiforums.com/threads/wanawake-wa-jf-mliobadili-id-mnatupa-ugumu-kutongoza.2061223/
Poa mkuuAnacomment sana tu, ingia uzi wa kubet
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] ngoja niitafute mpaka niipate
Uzee jamani we mzee ataniteka nani kibibi gagula mimiWewe mdada sijui nani kakuweka ndani, umeadimika kweli...
Nimeingia nimeishia kati nikipanda kitandani nitaenda kuimalizia ina nini kwani auntie mbona unanishawishi sana nikaisome[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu 8 kaleta link hapo juu Auntie.
Haina hata maajabu Auntie...Nimeingia nimeishia kati nikipanda kitandani nitaenda kuimalizia ina nini kwani auntie mbona unanishawishi sana nikaisome
[emoji23][emoji23][emoji23] Nimependa ulivyokuwa unamjibu sijui kakukuta vyombo vipo kichwaniHaina hata maajabu Auntie...
Nilivyoelewa mleta uzi anataka tukibadili ID tutoe taarifa....
Mitongozo isijirudie[emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Nimependa ulivyokuwa unamjibu sijui kakukuta vyombo vipo kichwani