Show ya Alikiba South Africa, iwe funzo kwa wasanii wa Bongo fleva

Show ya Alikiba South Africa, iwe funzo kwa wasanii wa Bongo fleva

Watanzania acheni kuwa viumbe msiopenda vya kwenu hata kufikia kutokufikirisha ubongo wenu kwa hapo mmeshindwa hata kujiuliza? Wasanii wangapi hapa kwetu huenda Clubs mbalimbali za mjini na ukienda Club lazima ujue ni mda gani alienda na pia je hio Club ni kubwa kiasi gani ?
 
Kinachomuangusha ni choice ya wasanii wa kufanya nao kolabo mfano diamond anajua timing aliona davido yupo juu wakati ule kamdandia fasta anaangalia wasanii wenye influence nchini kwao basi ana deal nao sasa huyu u faza wa kkoo ndo unamponza sijui anataka atafutwe yeye

Jamaa anajua ila u boya waje kujifanya kiburi unamponza
 
Watanzania acheni kuwa viumbe msiopenda vya kwenu hata kufikia kutokufikirisha ubongo wenu kwa hapo mmeshindwa hata kujiuliza? Wasanii wangapi hapa kwetu huenda Clubs mbalimbali za mjini na ukienda Club lazima ujue ni mda gani alienda na pia je hio Club ni kubwa kiasi gani ?
Clab? Wasanii wa ukubwa wa alikiba au diamond kwa sasa sio wa kufanya show kwenye clan kwa hapa Africa ,
Wanapaswa kufanya show kwenye halls, arena au viwanja vya mpira
Mfano diamond show za clab ameshatangaza hafanyi Africa hii , amekataa mialiko kibao ya show za clab
 
Hashauriki huyu na manager wake nae hausomi mchezo.
 
Diamond kila siku anasemwa mitandaon na nafikir anachukua comments in positive way
Ila what i can see from kiba side anaona kama kuambiwa ukwel anaonewa
I can admit kiba ana saut nzur sana kuliko chibu by far ila sasa mziki wa sa hv ni zaid ya kuwa na saut nzur
Akubal ukwel kwamba still ana safar ndefu ajue wapi kwa kujishusha wap kwa kuonyesha msimamo
 
Back
Top Bottom