Show ya Aslay na Nandy

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Kwa ninachokiona hapa Escape 1,ni tofauti kabisa na kile kilichokuwa kinapewa promo na Clouds,kwamba hii ndio show kubwa ya kwanza 2018....mmmmmmhhhhhhhhh,jamani LIVE band itabaki kuwa ni ya Christian Bella tu hawa wengine wababaishaji,show imepoa sana hii na hawa watangulizi wanaoimba muda huu ambao bila shaka ndio watakuwa vocalist wa Aslay hamna kitu kabisaa kwa ufupi show hii imebuma mapema kabisa.

Mara mia ya show za coke studio..
 

Samahani Mkuu Mimi namjua Nandy je huyo Nady wako uliyemwandika hapo katika Headline yako ni mwingine?
 
Dj Sinyorita yupo? mwambie Chinga One wa jf amesema anitumie picha yake whatsapp
 
Wameudharau wimbo wa taifa, watu hawapo serious kabisa mwengine wamekaa, mwengine kasimama kashika kidevu, wengine wanatabasam, wengine wametanua miguu, yaani kwa kifupi full dharau. Mimi nakumbuka nipo msingi Umoja jeshini yaani kitendo cha kusikia wimbo wa taifa unatakiwa usimame kiukakamavu hata kama umechelewa, jitie mjanja ukimbilie mstalini utachezea fimbo kwa walimu wote waliokuwa zamu na hata wanajeshi wakipita kuelekea kazini, wakisikia wimbo wa taifa lazima wasimame. Ila si shangai kadri siku zinavyoenda thamani ya huu wimbo unashuka, hasa ktk shule hizi za international mfano Atlas primary,iliyopo karibu na mabibo hostel hawaimbi kabisa ( nina mpwa wangu anasoma hajui wimbo wa taifa) , najua wanachukilia poa lkn ule wimbo unatakiwa uheshimiwe na Watanzania wote wa kila rika, kwani ni alama ya taifa letu.
 
nikajua ni mimi tu.. hamna show hapo!!
 
Ila mambo mengine si halisi hapo wapige amsha amsha tu masuala ya wimbo wa taifa iwe kwenye shughuli maalum ila swala la kupoa tegemea maana Aslay na Nandy wote wamepoa changnya na hiyo live band hakuna kitu
 
Live performance za bongo zinaboa sana, hivi bado tu wasanii wetu wanashindwa kujifunza kwa wasanii wa nchi nyingine? Eti V.I.P 50,000/= Duh! Bora 50elfu yangu ninunue mbuzi mzima pale vingunguti then achomwe nimchukue nyumbani nikae na marafiki zangu tumshushie na Lager bariiidi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Clouds wajinga sana,yaani kwa sasa wapo tayari kupoteza hela yoyote kum-promote dogo aslay ili amfunike Mond....!! Yaani wanataka wakigombana na msanii yeyote kila mtu amchukie....!!!
 
Tatizo hawo wahun wa clouds wanachowaza ni kumushusha dimond tu hawajui kuwa wanamchimbia kabur huyo mtoto aslay ambaye hajue ke wa me
 
Kakojoe ulale hizo Sera pelekea wajukuu zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…