Kwan picha kubwa ya msanii gan ivi zile kofia za kibakuli anaziuza kariakoo nataka nimchangie hapate ela ya kujenga nyumba npo location zinapo patikanaKwani yupo peke yake inaaamana hao wengine huwaoni umemuona yeye kwa vile ana domo kubwa sio
Watu watajaa sana hadi wasiompenda Diamond washangae,ngoja tusubiri matokeo baadae ya show,huyo jamaa ni shida,nilihudhuria show yake moja hapa Dodoma,hali ilikua tete kabisa,ni wa kimataifa huyo jamaa
Kwani yupo peke yake inaaamana hao wengine huwaoni umemuona yeye kwa vile ana domo kubwa sio
Wakati mkiendelea kutokwa na mapovu chukueni haya.
1.Yeye keshalipwa 80% ya hii shoo na iliyobaki anamaliziwa akitaka kupanda tu stejini.
2.Hivi sasa hivi mnapotokwa na mapovu tiketi za 15,000/ zimeisha.
3. Kinachofanyika ni uzinduzi na si lazima kujaza,japo hadi sasa kwa tiketi zilizouzwa kumeshajaa.
4.Wasanii karibia wote duniani wanaimba kwa stairi 2.
@ Playback ------- bei yake ni nafuu.
(b) Liveband ---------- malipo ni makubwa.
Kunawasanii wenyewe kuimba liveband ni nafuu mno,lakini si kwa DIAMOND.
Kwa wale wanaojitoa fahamu makusudi mimi nipo kwaajili ya kuwarudishia kilazima
hizi hapa playback.
Alikiba huyo hata wacheza shoo hana hapo,ndani ya playback.
Nelly huyo yuko na playback.
Huyu hapa DIAMOND na live band ndani ya rwanda.
Hizi ni baadhi tu ya picha,haya endeleeni KUTOKWA NA MAPOVU MAANA NDICHO KITU PEKEE MNACHOWEZA KUFANYA KAMA NI MUZIKI HAMUWEZI KUMRUDISHA NYUMA, HAKUNA WA KUMFIKIA YEYE KWA HALI ZOTE KWA WASANII WABONGO. MAANA MMEMSHINDANISHA WEEEE HADI MMECHOKA NA MUMESHAJUA HAWEZEKANI.
Anakuja kuwapigia mabinti zenu.
TRA mchukue VAT kwa kila ticket
dudubaya alishakuja kyela ku`perfom wadau wakamshusha jukwaani,wakamwambia hana wimbo wa kuimba walitaka tu wamuone,siku hiyo lipigwe disco tu,diamond nae hakawii kushushwa...teh!
Mapovu tu.... Mtaelewa tu... Pimbi nyie.
Hakuna lisilowezekana kwa Diamond Platinumz. Huyu dogo ni blessed jamani.. Nategemea kusikia milango imefungwa sababu ya ukumbi kujaa sana.
hata bure siendi
Wajinga ndio waliowao
Kwan picha kubwa ya msanii gan ivi zile kofia za kibakuli anaziuza kariakoo nataka nimchangie hapate ela ya kujenga nyumba npo location zinapo patikana
Unaweza hata ukalipiwa hata usitamani kuingia kwa kuiwaza kesho. Wengine watakulipia sifa iwe sawa sawa na wenye kukununulia pombe nyingi unywe mpk ufe ila usichukue bia hata moja kuenda nayo nyumbani.
Washirikina buana,eh!Ndumba za bimkubwa wake zinafanya kazi vzr ngoja ndumba ziishe kama hamjachangishana ela ya kumpeleka India kwenye matibabu
Washirikina buana,eh!
Hayo manyanga mnapigia wapi na mshirika wako mama chibu?!?!?
Pwilo soma kichwa cha hii habari (bila unafki kimeandikwaje) kisha niambie umewauliza wangapi huko mwanzo wa hii thead kuwa hayuko mwenyewe kama wachangiaji walivyochangia .........(itakuwa vizuri ukiniambia komenti zako zilikuwa no ngapi na ngapi huko juu,ili nisikuone mnafki) Tatu kwani angekuwa mwenyewe asingejaza ???Kwani alikuwa mwenyewe hilo ndo swali samsun
Tatizo umechokoza vita na mtu aliyetayari kufa, ila alikuwa anatafuta chanzo. UACHE UNAFKI,MUKIJITOA AKILI MIMI NIPO NINAWARUDISHIA KILAZIMA.Unatoka povu lote hilo haha dah
artwork mbovu haiendani na entry fee;tujifunze kuinvest kwa proffesional people for specific task,sio ukanjanjaNIko Kyela hapa nimeona matangazo ya Show ya diamond kesho IDD pili kwenye ukumbi wa Mwamunyange kilichonishangaza kiingilio VIP tsh 100,000(laki moja).
Hivi kweli huku wilayani Kyela kuna watu wakutoa laki moja kweli bora ingekuwa Mbeya Mjini hapo ningeelewa.
View attachment 363641
Kwani yupo peke yake inaaamana hao wengine huwaoni umemuona yeye kwa vile ana domo kubwa sio
Mi namchukia kivipi sasa huo si ukweli au we unataka ulete mambo ambayo ni ya kijinga sasa au we we ni mwanaume wa dar?We jamaa mkuda kweli, huyu mjomba sijui kakukosea nini mpaka unamchukia hivi.
hhhhahhhhaaaaaa!!aiseee!nyie watu haya maneno mnayatoa wapi?!Kama huna laki tulia nyumbani, hujui huyo ni international star?huku dar anaishi madale lakini kuonana nae hadi 50,000/= initoke..wewe wa kyela ulitakiwa utoe hata laki 2
Miwakwako naingiaMusic wa diamond hata 10,000 siingii.
tunduma hujakaa...ule msemo wa wahenga weupe,no research no right to speak...nahisi unahusika hapa!Hakuna mnyakyusaaa wa kutoa 100,000/= Kwajiri ya show
[emoji23] [emoji23] eti kituo cha boda boda.Aisee nasikia Le Mutuz alikuwepo. Ilibidi waletwe FFU wa ziada kuwazuia raia wanaotaka kumuona wengine kupiga nae picha. Ilikuwa kazi kubwa kumtoa hotelini kumpeleka kwenye kituo cha bodaboda, watu wa Kyela wamesahau kama show ni ya Diamond baada ya kumuona Le Mutuz Nation.
Wewe ni Zari the bosslady?Wakati mkiendelea kutokwa na mapovu chukueni haya.
1.Yeye keshalipwa 80% ya hii shoo na iliyobaki anamaliziwa akitaka kupanda tu stejini.
2.Hivi sasa hivi mnapotokwa na mapovu tiketi za 15,000/ zimeisha.
3. Kinachofanyika ni uzinduzi na si lazima kujaza,japo hadi sasa kwa tiketi zilizouzwa kumeshajaa.
4.Wasanii karibia wote duniani wanaimba kwa stairi 2.
@ Playback ------- bei yake ni nafuu.
(b) Liveband ---------- malipo ni makubwa.
Kunawasanii wenyewe kuimba liveband ni nafuu mno,lakini si kwa DIAMOND.
Kwa wale wanaojitoa fahamu makusudi mimi nipo kwaajili ya kuwarudishia kilazima
hizi hapa playback.
Alikiba huyo hata wacheza shoo hana hapo,ndani ya playback.
Nelly huyo yuko na playback.
Huyu hapa DIAMOND na live band ndani ya rwanda.
Hizi ni baadhi tu ya picha,haya endeleeni KUTOKWA NA MAPOVU MAANA NDICHO KITU PEKEE MNACHOWEZA KUFANYA KAMA NI MUZIKI HAMUWEZI KUMRUDISHA NYUMA, HAKUNA WA KUMFIKIA YEYE KWA HALI ZOTE KWA WASANII WABONGO. MAANA MMEMSHINDANISHA WEEEE HADI MMECHOKA NA MUMESHAJUA HAWEZEKANI.