Show ya Diamond nchini Oman

Show ya Diamond nchini Oman

Chibu kashasoma mwisho mwanzo na anajijengea msingi sasa hivi ili akiistaafu music aingize pesa kama jigga ndo maana kaanza kuwekeza mapeema yasije yakamkuta ya Mr nice..mjanja sana jamaa naskia alipo pale chibu ana nyumba nying kapangishia watu!,,ukimuona unamchukulia poa tu ila kuna mambo mengi ya kujifunza ktk maisha ya chibu asikiaye na afahamu
 
Huko nasikia 40% Ya raia wetu ni wafanyakazi za ndani
Na 75% ya walioko huko Oman,wana asili ya Tanzania.Ukisikia wafanyakazi wananyanyaswa,hawanyanyaswi na watu wa mbali,ni wenye asili ya Tanzania(kule wanaitwa waswahili)wana wanyanyasa watanzania wenzao.Na ndio huyo wamejazana hapo kwenye show hiyo.Kule wamepewa Uhuru,ngoma zote za asili za Tanzania,wanapiga na kucheza na kuimba kikabila.Japo ni nchi ya kiislamu,lakini wapo wasio na dini kama hao unaowaona.
 
Hahaha
So mnataka mseme huyu jamaa wa tanzania anaye goma kumaliza bfu yuko sahihi ee!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mjini mipango lazima ujifunze kwa waliokutangulia [emoji124]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila yule hajafika level za diamond, hata nilipo skia kina tour nikawa najua tu hamna kitu hapo
Sijui kwanini anajifananisha naye. Yani yule jamaa kwa mondi ni sawa n mchicha kwa mnazi [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wa oman waliotokea tz ni wengi sanaa, yan ile miji yote ya waarabu tz imehamia oman, yan ukienda kule unaweza ukakuta kijiji chako chote kipo muscat, kwa mfano kwa nzega Tabora kuna vjij vya warabu kama mwamala, itobo, bukene, mwangoye, nzega penyewe, ruhumbo yan asilimia 80 ya warabu walshapewa uraia oman, so kujaza huko ni kawaida maana nisawa anafanya show tz tuu na msanii yoyote anaetamba tz na kule pia wanamjua maana kutwa wanashinda wanafatilia habar za tz maana ndio kwao na wanazungumza kiswahil pia
 
Na 75% ya walioko huko Oman,wana asili ya Tanzania.Ukisikia wafanyakazi wananyanyaswa,hawanyanyaswi na watu wa mbali,ni wenye asili ya Tanzania(kule wanaitwa waswahili)wana wanyanyasa watanzania wenzao.Na ndio huyo wamejazana hapo kwenye show hiyo.Kule wamepewa Uhuru,ngoma zote za asili za Tanzania,wanapiga na kucheza na kuimba kikabila.Japo ni nchi ya kiislamu,lakini wapo wasio na dini kama hao unaowaona.
Hebu achaneni na hiyo mada
 
Back
Top Bottom