Show ya Diamond Platnumz yajaza watu 100,000 Sudan

Show ya Diamond Platnumz yajaza watu 100,000 Sudan

Joined
Dec 27, 2020
Posts
43
Reaction score
70
Hakika huyu kiumbe kashindikana. Hii ni zaidi ya ile ya kigoma
e1b3e9754f4840cbcedf899c14d8dec4.jpg
 
Mondi katisha hivyo ndio sisi tunataka sio kujimwambafai tu
 
Hongera Diamond msanii pekee tangia uhuru aliyefanikiwa kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kimataifa.

Maendeleo hayana vyama nasema uongo ndugu zangu?

Nyie endeleeni kumjadili mtoto wa tandale,
Mie ngoja niendelee kupambana na Hali yangu.
 
Wengi tumeshangaa kwa jinsi kijana alivyoweza kujaza sho yenye kiingilio cha dola 300 na dola 1000 huko Sudan ya kusini na bado akajaza kama kawa, Promota kapiga pesa yake safi nae Diamond kaondoka na dola laki 1 ambayo ni takribani milioni 230.

Brand ya kijana inazidi kukua na kutuwakilisha vizuri barani afrika.
 
Safi sana Diamond na timu nzima ya uongozi wako

Mameneja wa wasanii wengne Tz fanyeni jitihada ktk uwekezaji kwa wasanii wenu ili watambulike kimataifa na tuwe na idadi kubwa ya wasanii wanaohit kimataifa sio kuridhika na vishow vya Kahama, Nachingwea nk

Jifunzeni kwa akina Sallam Sk, Tale na Fella namna walivyopambana kumbrand msanii wao kitaifa na kimataifa licha ya kupata upinzani mkubwa sana wa baadhi ya media house za bongo zikiongozwa na wafitinishaji Clouds media
 
Safi sana Diamond na timu nzima ya uongozi wako

Mameneja wa wasanii wengne Tz fanyeni jitihada ktk uwekezaji kwa wasanii wenu ili watambulike kimataifa na tuwe na idadi kubwa ya wasanii wanaohit kimataifa sio kuridhika na vishow vya Kahama, Nachingwea nk

Jifunzeni kwa akina Sallam Sk, Tale na Fella namna walivyopambana kumbrand msanii wao kitaifa na kimataifa licha ya kupata upinzani mkubwa sana wa baadhi ya media house za bongo zikiongozwa na wafitinishaji Clouds media
Jamaa anajitiada Sana nguvu yake Ni kubwa kuliko hata hizo media zinazombania
 
Back
Top Bottom