crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
hapo mi naona ungempongeza Diamond mwenyewe hao mameneja sidhani kama wana impact kubwa sana kwake.Safi sana Diamond na timu nzima ya uongozi wako
Mameneja wa wasanii wengne Tz fanyeni jitihada ktk uwekezaji kwa wasanii wenu ili watambulike kimataifa na tuwe na idadi kubwa ya wasanii wanaohit kimataifa sio kuridhika na vishow vya Kahama, Nachingwea nk
Jifunzeni kwa akina Sallam Sk, Tale na Fella namna walivyopambana kumbrand msanii wao kitaifa na kimataifa licha ya kupata upinzani mkubwa sana wa baadhi ya media house za bongo zikiongozwa na wafitinishaji Clouds media
ππππ hebu thibitisha mtu ukatoe laki 7 kama kiingilio? Huo uchumi wa wanasudani umefika huko?Wengi tumeshangaa kwa jinsi kijana alivyoweza kujaza sho yenye kiingilio cha dola 300 na dola 1000 huko Sudan ya kusini na bado akajaza kama kawa, Promota kapiga pesa yake safi nae Diamond kaondoka na dola laki 1 ambayo ni takribani milioni 230.
Brand ya kijana inazidi kukua na kutuwakilisha vizuri barani afrika.
Kweli mzee baba hiyo Ni show ya pili ya kwanza kajaza ikiwa VVIP kiingilio kilikuwa Ni mil 2 na kajazaππππ hebu thibitisha mtu ukatoe laki 7 kama kiingilio? Huo uchumi wa wanasudani umefika huko?
Mondi yupo vizuri.Levelsss babbyyy!!
Afu anakuja mtu anamlinganisha Dai na Kiba
Ny.oko zake
HII ilikuwa sherehe ya nchi kisha Diamond akaalikwa ku perform.. SHEEEEEEEEEEEENZI SANAHakika huyu kiumbe kashindikana. Hii ni zaidi ya ile ya kigoma
View attachment 1659976View attachment 1659977
Vip na ile aliyojaza kwa kingilio Cha mil 2?HII ilikuwa sherehe ya nchi kisha Diamond akaalikwa ku perform.. SHEEEEEEEEEEEENZI SANA
Sio laki 7 tu mkuu, viingilio vilikua ni dola 300 ambayo ni takribani laki 6 na nusu, na kuna ticket zilikuwepo za dola elf 1 ambayo ni kama milion 2.3.ππππ hebu thibitisha mtu ukatoe laki 7 kama kiingilio? Huo uchumi wa wanasudani umefika huko?
Hongera Diamond msanii pekee tangia uhuru aliyefanikiwa kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kimataifa.
Maendeleo hayana vyama nasema uongo ndugu zangu?