Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,274
Nimefungulia tv Chanel ya East Africa Tv (EATV) nimekutana na Show ya mwanadada Wema Sepetu ila cha kuskitisha kuna nguo flani kavaa yaani inaacha wazi kabisa Chakula cha Watoto (M.a.t.i.t.i) hadi wameamua kuweka kivuli sehemu ya kifuani kuzuia Chakula cha watoto kisionekane
Sasa kwanini wasirushe kabisa tu hiki kipindi?
Sasa kwanini wasirushe kabisa tu hiki kipindi?