Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ngumu sana hiia very broken english ndio nini?
Mna pesa za kukodi stadium USA nyie ?Hivi show zao wanafanyiaga kwenye stadium au ma Hall tu
Ova
Tayari unacho kwenye chumba cha chini walipokaa malijendi wa Jf celeb forum ❤😁Nami nataka kimoja
😂😂😂😂😂 wapi hukoTayari unacho kwenye chumba cha chini walipokaa malijendi wa Jf celeb forum ❤😁
Mtimani 😁😂😂😂😂😂 wapi huko
Mjanja weweMtimani 😁
Kidogo sio sana 😁Mjanja wewe
Mpaka anaacha mziki tatizo la kutojaza show za marekani hatoweza litatuaZuchu kawa mkweli , ni ukweli mchungu Sana , huwez kulitatua tatizo Kwa kuvunga kama halipo , lazima ukubali uwepo wa tatizo ndo utapata nguvu za kulishughulikia
Aache uchawa kwa watawala itamsaidiaKatika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , unaambiwa kulikuwa na maraia kama 20 tuu hv , na wako busy na mambo Yao , huku wakimpiga picha mara moja moja yaan hawawaelewi..... hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo
View attachment 2421250
Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia
HahahaMna pesa za kukodi stadium USA nyie ?
Siku zote mwanzo huwa mgumu lakini asikate tamaa, hapo ndipo pa kujifunzaInasikitisha Sana kupata watu 48.
Stadium hipo diamond amejaz USAHahaha
Mbona diamond anafanyia shw zake kwenye mastadium [emoji1]
Ova